terabojo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 215
- 45
Wana JF nisaidieni n iweze kuelewa nani kati ya hao anao uwezo wa lutuletee neema kiutendaji na kufanikisha malengo ya wizara husika?? Binafsi ninadhani Katibu Mkuu ndio hasa "engine" ya wizara na kwa umoja wao serikali. Waziri anakuja na kuondoka - wizara ya mabo ya ndani ni kigezo. Je, wewe mwana JF unasemaje?