Miradi ya Maendeleo Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Miradi ya Maendeleo Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Bob_Dash

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
90
Reaction score
13
1. Ujenzi wa Msikiti mkubwa na wakisasa
2. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Kiislamu
3. Ujenzi wa Madrasa kubwa ya kisasa

Ndugu wananchi Serikali yenu inafanya kila jitihada kuhakikisha inakamilisha hiyo miradi mikuu.
 
Kama ndiyo mahitaji ya msingi ya population kubwa ya huko basi ndiyo maendeleo yenyewe

Kwa tafsiri yangu mbovu isiyothibitishwa na maguru wa maendeleo ni kuwa kile watu wanachofeel kama mahitaji yao, ndiyo mahitaji yao na kuwapatia ndiyo maendeleo yenyewe maana kama wanahitaji msikiti ukawajengea bomba la maji ambalo hawahitaji, basi wataishia kubomoa mabomba na kuyauza kama vyuma chakavu.....Tafsiri ya maendeleo lazima itoke kwa wananchi wenyewe na sio wahisani wala watu wengine toka nje ya jamii husika

The question is, je haya ndiyo watu wa Zanzibar wanayaona kama maendeleo na ndiyo mahitaji yenyewe? if so, hongera serikali ya Znz ila kama sivyo, mmhhhhh!!!!
 
Back
Top Bottom