STORI ZA KUPIGA RAMLI!
Mtunzi: Muddyb Mwanaharakati
Mawasiliano: 0713538427
ANGALIZO: Atakayekwazika, naomba ani-inbox. I will have the post deleted immediately!
Kingine si kama stori ndivyo hali halisi ilivyokuwa. La hasha. Ni katika harakati za kusogeza siku zetu za kuishi tu.
Tuendelee...
Kimekuja na meli.
Tuheshimiane!
Asubuhi na mapema, hata hali-mseto haijatokea, simu mkononi kumpigia asiyempigia tangu kuzaliwa.
Namba kaipata wapi, ngumu kusema kwa mtu mwenye nia na jambo fulani.
Tuuuuuuuuuup!
Mwito wa kwanza, hola!
Wa pili, holaaaa!
Hatimaye ikapokelewa!
"Hello, Zari!"...
Mtunzi: Muddyb Mwanaharakati
Imetolewa: Mei, 2020
Mawasiliano: 0713538427
MOJA
MIADI!
Miadi ikisogea moyo huhakaika, kwa kasi na haraka huwa kama kidonda kinachopwita, pwi-pwi, pwi! Kufanya hivyo ni rai kwa mwili umsubiriao mwenza kwa hamu kuwa wasaa utawadia, huku matarajio ya mambo kuwa...
Bongo flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B,afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.