Na Mwandishi wetu Baraka Mussa (Mjumbe wa Halmashauri kuu CCM Wilaya ya kigoma mjini),
Kwanza nianze kuwasalimia Kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Pia ningeomba Vijana wa ACT wasome andiko hili vizuri ili itawasaidia kuachana na maandamano yao ya kipuuzi,Pia andiko hili...
Nimekuja kuomba ushauri kwenu nina mtaji wa milioni nne naweza kufanya biashara gani Dodoma.
Nina ujuzi wa computer na uzoefu katika kutengeneza computer hadi chip level, kutengeneza simu sinauzoefu ila nimeshapata mafunzo kidogo.
Kichwani kwangu nina mawazo matatu moja kufungua mgahawa...
Asalam alykum warahamatuallah wabarakatu.
Inshallah katika makala zangu za ""HACKER ""au MDUKUZI.
Maana maarufu ya "Computer hacker /hacker ni mtu ambaye anadukuwa taarifa zako bila muhusika kujua (anaingia taarifa zako za mitandaoni na kuzichukuwa au kuzitumia bila muhusika kutambua). Watu...
Miaka iliyopita Niliwahi kuwa na uhusiano na bint aliyekuwa Mwanafunzi wa chuo Fulani ,Kisha uhusiano ukavunjika kutokana na yeye kuleta usaliti na kuanza uhusiano na mwanaume mwingine, Mimi nikamformat nikaendelea zangu na Harakati zangu.
Baada ya Kama Mwezi mmoja akanitafuta na kuomba turudi...
According to Ibn Khaldun(muqqadimah ), tax revenues of the ruling dynasty increase because of business prosperity, which flourishes with easy, not excessive taxes. ... ,
Nini maoni yako?
Fastscan ni App nzuri na friendly user ambayo humsaidia mtumiaji kuscan document zake na kuziweka Katika format aitakayo Kama PDF, jpg, JPEG, etc, hii imenisadia kuscan vitabu na kuhifadhi katika Simu yngu au computer, imenisadia kuscan vyeti vyangu na kusaidia vijana wenzangu pale wanapotaka...
Habari zenu? Ndugu zangu mimi napenda sana kuwa mjuzi na mbobezi wa Adobe After effects katika kutengeneza video introduction na video editing pia napenda niwe mjuzi katika Adobe Photoshop C6 ili niweze kudesign na kutengeneza matangazo, posters, brochure, hata kuedit picha.
Nachojua Katikati...
Habari zenu wanaJF,
Miaka michache iliyo pita nilikuwa nikipata mikosi yaani nakusudia binti anakupenda mwenyewe anaomba uhusiano na wewe pia akiwa na nia umuoe, wewe unajitolea mnafika hatua ya kutambulishana pia anakujali vizuri na mwishoe anaanza vituko na kukuacha, hii mikosi imewahi...
Habari zenu wana JF,
Kuna binti nikimuacha yaani tukivunja uhusiano analia na kunibembeleza turudiane katika mahusiano, lakini nikimpatia maelezo mazuri huyapuuza mfano tukipanga tuonane mahali salama kwa mazungumzo ya kawaida hafiki pia hataki nijulikane kwa rafiki zake au ndugu zake kama tuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.