Wananchi wengi wanalalamika hasa suala la upendeleo wa wazi unaoonyeshwa na wasimamizi wa eneo tengwa la barabara yaani (Road reserve) tunaona serikali inafanya jitahada za kuwaondoa wavamizi sawa ila idara hii imekuwa sugu kwa Rushwa maana kuna watu wengi wapo na hawaondolewi na wamekaa miaka...
Sis wakazi wa Dar bila umeme ni sawa na kutupwa jehenam ukiwa hai. Yaani kwa sasa hatulali usiku maana kuna joto balaa.
Ukiweka kitu kwenye fridge kinaoza maana umeme umekuwa wa mgao na hawa wachumia tumbo hawaongei lolote wao wamejiwekea Jenereta kwa kodi zetu hawaoni taabu.
Lakini...
Hawa mawaziri wanaoongoza hizi wizara wana ajenda ya siri ya Kumng’oa Samia. Mama kaa chonjo watakugharimu Urais wako wewe endelea kuwakumbatia, wananchi tunakuangalia kwa jicho la tatu
DAWASA wanaupendeleo dhahiri, maeneo mengi wanalalamika hawana maji wiki ya nne ili hali maeneo mengine yanapata maji mara tatu kwa wiki.
Wakazi wa Tegeta wamesema kwao upendeleo unaonekana waziwazi. Maeneo mengine kibao wanalalamika, Fuateni haki acheni upendeleo
Kwa sasa kumekuwa na mgawo wa umeme ambao kwa kweli unakwamisha maendeleo. Baadhi ya maeneo umeme unakatwa kutoka asubuhi mpaka jioni.
Mfano ni Tegeta na maeneo mengine. Kweli hii ndio dhana ya kazi mama aliyosema mpaka akabadilisha baraza? Mbona wakati wa ndungu yetu Magufuli wananchi tuliishi...
Nimeona uchanguzi wa Marekani ulivyofanyika, unatia raha maana nusu kwa nusu maana yake nini maendeleo hayakwepeki.
Hakuna mahali maendeleo yataacha kwenda kisa wamechagua upinzani, watakuona kama uliyechanganyikiwa. Sera za nchi ni lazima kutekelezwa kwa ujula wa kinchi na priorities za nchi...
My take: Walitakiwa kumsikiliza Rais John Pombe Magufuli alituambia tangu miezi kadhaa iliyopita kuwa tusiogipe, kama dunia ingezingatia ujasiri huu wa Rais huyu mjasiri zaid duniani leo tusingekuwa tunaahirisha shule kama wenzetu Kenya, tungekuwa na COVID-19 free ZONE like Tanzania. Kongole kwa...
Nimeangalia ndugu zetu hawa wafuata mkumbo nimegundua mengi sana.
Mosi: Kuna wananchi wanadanganywa hapa ati COVID-19 inaongezeka kwa kasi sana, yawezekana hii ikawa ilikuwa janjajanja ya watu fulani kupiga hela.
Pili: ina maana gani unamfungia mtu asiambikizwe COVID-19 ili hali mtu huyohuyo...
Kuna kipindi alikuja mjinga mmoja hapa akasema utamu wa katiba ya kenya na kuponda sana katiba ya tanzania nakubali katiba yetu ina mapungufu na ya kwao ni nzuri ila nashangaa kwann wanataka kuibadilisha to suit some minority needs and not majority.
Utamu wa katiba mpya, Wakenya tujifunze na...
Viongozi wa Kenya endeleeni kushupaza shingo mwisho wa siku zitavunjika.
Ninachotaka kusema ni nini? Wasaidieni wakenya(wananchi) kwa sababu hii vita ya Corona ni kwenda nayo kwa umakini sana. Wazungu ni watu wa ajabu sana,
Kwanza hawapendi nchi yenu bali wanapenda kuitumia kama tambara bovu...
Naona hapa kuna nchi wanaitumia Tanzania kama sehemu ya kisingizio kuwa kuongezeka kwa kwa Coronavirus ni kwa sababu ya TZ kutofanya lockdown.
Lockdown haina maana kwa nature ya huu ugonjwa, cha maana ni elimu kwa wananchi waelewe jinsi unavyoenea na kujikinga kwa kuvaa PPE, kula vyakula vya...
Hawa viongozi wana akili kweli wanaona jinsi China inavyohangaika na hili gonjwa halafu wao kwanza ndio wanafanya misifa ati wanasema wasafiri wote wako salama.
Mkenya gani aliyenda kuwapima huko China na kuiletea taarifa serikali? Akili za panzi
Wafukuzwe kazi maana wana akili ndogo sana hawa...
Wana JF kuna mmoja anapunguza ndege na kuna mwingine anaongeza ndege hii imekaaje?
Hii ina tofauti na wale wanaotamani kuikimbia ndoa na wengine wanataka kuingia kwenye...
Naona Rais Magufuli anafanya vitu vinavyokuna mioyo, anafanya juu chini kuhakikisha nchi inajengwa,
Rufiji hydro power
Nchi yoyote yenye umeme si kificho kuwa uchumi wake hukuwa haraka sana, kutokana na ukweli kwamba viwanda vikubwa na vidogo vitaongezeka, mazingira yatadumishwa maana hata...
Tunajua huu ni wakati wa kila mtanzania kbana matumizi, kulipa Kodi na kujinyima mengi ili tuweze kujenga Bwawa letu la umeme na mwisho wa siku umeme utapungua bei sana.
Hawa wanasimamia barabara za mjini zinazofadhiliwa na world bank, barabara hizi bado hazijafikia viwango wa trunk roads kwa...
Ukame Kenya Waturkana 14 wafa kwa njaa
Nimewahi kusema maneno mengi hayavunji mfupa. Wakenya wengi wanaleta habari za kuonyesha kuwa wako second world, lakini ukiwaambia kuwa utajiri mwingi haupo kwa wananchi wa kawaida hawaelewi. Utajiri mwingi wa Kenya Umelala Nairobi sehemu nyingine ni...
Katika pitia somasoma yangu ya bbc nimekutana na hili Wakenya nao wameenda kujifumza si China, USA wala EU bali kutoka Tanzania. Si kila wakati mnasema Tanzagiza, mara LDC lakini muwe mnasema Tanzatechno maana hapa mmefunga safari kwenda kujifumza. Hongereni majirsni
Jinsi kinyesi kinavyogeuka...
Huwa nakisikia haya majamaa yanavyoongea kwa kujigamba unaweza ukahisi hii dunia ni mali yao, kumbe kazi ya ni kusaini tu mikataba bila hata kuangalia ina athari gani.
Kuna Mkenya humu kaandika uzi kwa majigambo akishangilia kuona viongozi wake wakisaini mikataba ya EPA bila hata kuangalia nn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.