mzalendoalltz
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 828
- 709
Katika pitia somasoma yangu ya bbc nimekutana na hili Wakenya nao wameenda kujifumza si China, USA wala EU bali kutoka Tanzania. Si kila wakati mnasema Tanzagiza, mara LDC lakini muwe mnasema Tanzatechno maana hapa mmefunga safari kwenda kujifumza. Hongereni majirsni
Jinsi kinyesi kinavyogeuka lulu Tanzania
Jinsi kinyesi kinavyogeuka lulu Tanzania