Magufuli si mchezo, wale majirani mnao mhadaa ipo siku mtakubali tu

mzalendoalltz

JF-Expert Member
Mar 25, 2015
828
709
Naona Rais Magufuli anafanya vitu vinavyokuna mioyo, anafanya juu chini kuhakikisha nchi inajengwa,
Rufiji hydro power
Nchi yoyote yenye umeme si kificho kuwa uchumi wake hukuwa haraka sana, kutokana na ukweli kwamba viwanda vikubwa na vidogo vitaongezeka, mazingira yatadumishwa maana hata ukataji wa miti utapungua maana watu watatumia umeme zaidi kukiko mkaa, time saving na hivyo kuongeza uchapa kazi zaidi, umeme unasaidia sana irigation kwenye agriculture n.k

Naona anazidi kuipaisha sekta ya usafiri anaongeza tena ndege
Tumpe heko

Na mengi anayoyafanya
Tumuunge mkono wana East Africa maana najua tunajifunza kitu kwake. Si kila siku lawama tuu
 
Naona Rais Magufuli anafanya vitu vinavyokuna mioyo, anafanya juu chini kuhakikisha nchi inajengwa,
Rufiji hydro power
Nchi yoyote yenye umeme si kificho kuwa uchumi wake hukuwa haraka sana, kutokana na ukweli kwamba viwanda vikubwa na vidogo vitaongezeka, mazingira yatadumishwa maana hata ukataji wa miti utapungua maana watu watatumia umeme zaidi kukiko mkaa, time saving na hivyo kuongeza uchapa kazi zaidi, umeme unasaidia sana irigation kwenye agriculture n.k

Naona anazidi kuipaisha sekta ya usafiri anaongeza tena ndege
Tumpe heko

Na mengi anayoyafanya
Tumuunge mkono wana East Africa maana najua tunajifunza kitu kwake. Si kila siku lawama tuu

Who cares a stupid motherfvcker is doing really well on being really stupid!
 
% kubwa wanaombeza MAGUFULI wale wenye uongozi katika vyama pinzani na wenye hali nzuri katika ccm (kwa jina lengine vigogo) lakini katika Marais wa TZ waliopendwa na wananchi kutoka moyoni hakuna wa kumfikia Magufuli wala cjui kama atatokea wa kuvunja rekodi yake kwa Sasa , kipindi alivyoingia wananchi waliompenda walikua kama 30%tu lakini kwa Sasa hivi hata asiwe na chama akasimama pekeyake kama mgombea huru huku ccm wakaweka mgombea mwengine bado atawaacha mbali sana kwasababu sasa hivi anapendwa na wananchi ambao ndio wapiga kura ila anachukiwa na wenye kipato ambao wachache.
 
% kubwa wanaombeza MAGUFULI wale wenye uongozi katika vyama pinzani na wenye hali nzuri katika ccm (kwa jina lengine vigogo) lakini katika Marais wa TZ waliopendwa na wananchi kutoka moyoni hakuna wa kumfikia Magufuli wala cjui kama atatokea wa kuvunja rekodi yake kwa Sasa , kipindi alivyoingia wananchi waliompenda walikua kama 30%tu lakini kwa Sasa hivi hata asiwe na chama akasimama pekeyake kama mgombea huru huku ccm wakaweka mgombea mwengine bado atawaacha mbali sana kwasababu sasa hivi anapendwa na wananchi ambao ndio wapiga kura ila anachukiwa na wenye kipato ambao wachache.
Mwehu ww
 
mwambie @ mbolabilika saidi
unajua watu wanakurupuka tu kusemma, sijui hawana ya kusema ni bora tu ukaacha ukafanya mambo mengien kuliko kuonekama kama poyoyo wa mitandao ya kijamii
 
Back
Top Bottom