Mkuu akili za mwafrika zipo programmed na mzungu ni mpaka pale tutapoweza kuflash hili tatizo, China washang'amua hili wapo bize kutengeneza kizazi ambacho hakishabiani mawazo na Mzungu.
Mapokeo yanatesa sana watu,
Chanzo ubongo wa mwafrika upo programmed na mzungu.
Waliondoka wao ila wameacha virus vichwani mwenu
ndo wanaowatafuna mpaka sasa.
Elimu ya kuflash vichwa vya mwafrika muhimu iundwe
Ili kuinusuru jamii ya mwafrika.
Yafaa nasi kuacha code zenye kuflash virus ya mzungu...
Aisee bwashee hao Watu We waache hivyohivyo tu, Wanyakyusa Mbeya washawasema vijembe zaidi ya hivyo ila huwa wanajibu kwa kishindo cha mafanikio na kuweka focus kwenye Mambo yanayowahusu wao tu.
Kwamaana hiyo kauli kama uloiandika haiwazuii wao kufanya Mambo yao na mbaya zaidi now days...
Kuna kata ndani ya wilaya ya kinondoni inaitwa kigogo unaweza endamtafuta hapo na kumpata maana watanzania wanautamaduni wa kuyapa majina ya maeneo kulingana na hadhi ya mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.