Kwa wale wahenga wenzangu wanaikumbuka hadithi hii ya kalumekenge,,,naanza,baba yake kalumekenge alimwamuru kalumekenge aende shule,lkn kalumekenge akakataa,baba yake akaenda kwa FIMBO,akaiambia nakuomba umchape kalumekenge kwani hataki kwenda shule,FIMBO ikakataa,baba akaufuata MOTO,moto naomba...
Kwa nia njema kabisa niwapongeze kwa kazi yenu ya kuelimisha, lakini kwa alichofanya mwalimu wenu au kiongozi wa msafara wa wanafunzi waliotoka Dar leo tarehe 12,1,2018 sio cha busara kabisa,
Ni hivi; bus limetoka Dar (kidia one) kuja Moshi, inawezekana baadhi ya wanafunzi walitangulia na bus...
CCM walijitahidi kuzuia upinzani kufanya mikutano lakini walishindwa kujipanga kuwa wafanyeje iwapo kutakuwa na chaguzi ndogo.
Sasa kumekucha, huku Mbowe pale Zitto kule Lema kule Msigwa, pale Maalim Seif hapa Mh Lowassa.
Duuh! Waibe wanyang'anye lakini wataumbuka tu.
KAZI KWENU UKAWA...
Hakika niseme kweli mimi siko upande wako japo mie ni mTZ ninayefikiria kuomba uraia wa kenya lkn ulichofanya kimekufanya uwe mshindi zaidi ya ushindi wa urais,hata ikitokea kura zako zisitoshe fahamu kuwa wewe ni mshindi wa demokrasia.
Amini usiamini huku TZ umekua habari si kwa kunyang'anya...
Najaribu kuulizia tu,inasemekana simba ina wanachama takribani 5000 sasa katika mkutano wa leo waliohudhuria ni 1200,je mpaka hapo akidi ilitimia?kama haijatimia maamuzi ya leo ni halali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui niko sawasawa lkn nijuavyo mimi mechi kama hii ya SIMBA na RAYON ni ya kimataifa sasa nisichokijua mbona hakuna bendera ya TAIFA wala ya RWANDA wala ya FIFA wala ya CAF,hii ni sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninasikitika saaana na naona aibu kujiita mtanzania,kila nikifikiria baadhi ya mambo najikuta si TZ,eti SPORTPESA wameandaa mashindano na wakatangaza kuwa mshindi wa mashindano hayo atacheza na Everton,
cha ajabu wenzenu wa KENYA wakajipanga kwelikweli ili waweze kucheza na Everton lkn nyie...
Nakumbuka miaka ya nyuma mchambuzi mmoja wa soka alikuwa maarufu sana kupitia DTV chanel ten kama sijakosea,alikua anaitwa LIKY ABDALA,kutokana na yule bwana kuonekana kila siku ya mechi kubwa akifanya uchambuzi basi baadhi ya wa TZ wakapendekeza agombee u katibu mkuu wa FAT enzi hizo kwani...
Sio siri samata yuko juu ki mpira,lkn sio kweli kuwa samata ni bora kwa kuwa mchezaji bora wa afrika kuliko wanyama,ukweli ni huu, SAMATA ni mchezaji bora wa afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (afrika)na sio mchezaji bora wa afrika kwa wachezaji wote wa kiafrika,na ushindi wa SAMATA...
Nimekuwa mdau wa usafiri kwa muda mrefu na kati ya watu niliokuwa nawaogopa ni TRAFIK POLIS,kwa kuwa wengi ni jeuri na kiburi sana,lkn kwa afande trump(sio jina lake)ni mfano bora,yeye huamka saa 11 alfajiri na kuingia bus stand,na kuanza kutoa maelekezo/taratibu /kanuni za udereva bora,na pia...
Kama hujui tambua hili yule Mti nia anayemwaga mihela,ametengeneza watia nia wake ambao kazi yao ni kuimarisha mtandao wao huko mikoani, lengo likiwa kuanza kampeni kabla ya muda hivi sasa watia nia hao wako mikoani wakiendelea kuimarisha mtatandao kwa jina la kutafuta wadhamini.
Mpaka sasa...
Wapendwa wanajamvi,naomba kuuliza hivi ,kitendo kinachofanywa na halmashauri ya ROMBO cha kutoza ushuru hapo Tarakea kina uhalali gani?
Kwanza hakuna stand wala hata vyoo hakuna lakini leo wanatoza ushuru,huko si kuibiwa!!
Naomba mawazo yenu wana jamvi:yield:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.