Nasikia huyu [emoji7]amenusurika kuuwawa huko shinyanga kwa sababu ya macho mekundu.Haka [emoji12]kamepigwa bastora kwa kukonyeza mke wa mtu.Huyu [emoji35]kakosa ajira,huyu kalemaa shingo siku nyingi tu.[emoji123]Haka kapo jela kwa ubabe wa kijinga.
Nahitaji msaada maana nimegusiwa na Bi Mkubwa kuwa kuna mtoto mwenye maadili kwa jirani.Mimi bado sijampa jibu maana nina mpango wa kitafuta mwenyewe pia bado nipo katika ukaguzi wa kuangalia yupi anafaa.Povu lenye hoja ni muhimu sana jamani.
Pamoja na watu kutozwa kodi lakini hali ipo hivi katika machinjio ya Mji wa Shelui huko Iramba Magharibi.Je viongozi hawaoni kuwa hili ni tatizo?Maana na wao wanashiriki kula nyama.Sijui Mbunge wa eneo hili yupo wapi?
Tukio hili la kuhudhunisha limetokea leo katika kata ya Bukoli jimbo la Busanda mkoani Geita.
Katika hali isiyotarajiwa watu wasiojulikana waliingia nyumba ya kulala wageni kisha wakaagiza bia wakanywa baada ya kumaliza kulewa walitekeleza mauaji hayo.
Sababu ya kutokea kwa tukio hilo bado...
Waweza kumkumbatia mwenza wako na ukajisikia faraja.Waweza kukumbatia vingi vya kuvutia ukajihisi mwenye amani na furaha.Lakini kinyesi si kitu cha kukumbatia maana hata ujapokukiachia utabaki na harufu.Ushauri wangu kwa kina baba wanaodekeza watoto:Msipende kuwakumbatia wanenu hata kama...
Mtoto mdogo mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka miwili hadi mitatu aliokotwa na msamaria mwema eneo la Kinyerezi stand ya Mbezi baada ya kuachwa na mzazi wake aliyeambatana naye na kumwacha akirandaranda bila msaada kwenye mazingira ya kutatanisha. Msamaria mwema huyo ambaye ni muuza...
Natumai wote ni wazima wa afya nami pia ni mzima,
Mpaka muda huu sijalala kwa sababu nilipitiwa na usingizi mzito nilipokuwa natoka Ubungo kuelekea Ukonga nyumbani.
Ninachotaka kujua ni kitu gani hasa kinachosababisha maaskari wa usalama barabarani wawe wanapendelea magari yanayotoka TAZARA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.