Mlinzi wa nyumba ya kulala wageni achinjwa na watu wasiojulikana

Cham Bee

JF-Expert Member
Feb 10, 2015
3,516
1,854
Tukio hili la kuhudhunisha limetokea leo katika kata ya Bukoli jimbo la Busanda mkoani Geita.

Katika hali isiyotarajiwa watu wasiojulikana waliingia nyumba ya kulala wageni kisha wakaagiza bia wakanywa baada ya kumaliza kulewa walitekeleza mauaji hayo.

Sababu ya kutokea kwa tukio hilo bado haijajulikana na mpaka sasa wananchi wapo katika wasiwasi mkubwa.

20170424_100658.jpeg
 

Attachments

  • 20170424_100702.jpeg
    20170424_100702.jpeg
    67.2 KB · Views: 155
  • 20170424_100654.jpeg
    20170424_100654.jpeg
    92.1 KB · Views: 41
Back
Top Bottom