Search results

  1. A

    Duniani Hakuna Jipya

    Utasikia mtu analia alisomesha mpenzi kakimbia. ..Marudio. Mme anachepuka. ..Marudio Naomba ushauri biashara gani nianzishe. ...Marudio. Viongozi hawatekelezi ahadi. ..Marudio. Matumizi mabaya ya ofisi...Marudio Kila kitu. ..Marudio
  2. A

    Lukuvi achana na bomoa bomoa, fuata ushauri huu

    Kama bomoabomoa inafika mpaka pugu. ...kilio kitakuwa kikubwa sana
  3. A

    #KilimanjaroNitahesabiwa

    Tupia #Nimehesabiwa kama uko Kilimanjaro au unakusudia kuwa K'njaro kabla ya kuanza mwaka mupya 2016
  4. A

    Duniani Hakuna Jipya

    Kila kitu marudio tu..
  5. A

    JPM: Walipe Wastaafu EAC

    Kama ni KAZI TU BASI hata na kulipa Madeni ya wastaafu wa Africa Mashariki ni kazi tu. Tusiangalie mambo ya sasa wakati kuna wazee watanzania waliostaafu wanadai serikali miaka chungu nzima
  6. A

    ushauri nataka kuacha chuo(udom).

    Kuna mtu alikuwa na shida kama wewe akawa anafua nguo za wanachuo wenzake kwa fedha kidogo "DOBI" aliweza kupata fedha ya kujikimu. Swala la ada fuata ushauri uliopewa na wadau. Ila issue ya misosi ondoa aibu kuwa dobi.
  7. A

    Rwanda will not send troops to Burundi- Kagame

    Bara gani ushasikia vita ya wenyewe kwa wenyewe mwaka wa 50 sasa
  8. A

    Rwanda will not send troops to Burundi- Kagame

    Mtu akisema waafrika hatuna akili povu linatutoka tunadai tunatukanwa. Sioni sababu ya kuuana wenyewe kwa wenyewe. ...lazima tuwe na desturi ya kuheshimu sheria na kujali utu. Burundi wanasahau violence haileti suluhisho ya migogoro, bali inaacha makovu yasiyofutika mioyoni mwa watu na...
  9. A

    Serikali: Kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi itakuwa Siku ya kufanya Usafi nchini!

    Kipekee itasaidia tuonane na majirani zetu
  10. A

    Diva hajitambui

    Hao watu wa dasalama utawaweza. ...wanasema wamenunua gauni kwa 3M alafu wanashindwa kulipa bili ya umeme. Dasalama mjini hapo
  11. A

    USHAURI: Kila Jumamosi ya mwisho wa Mwezi iwe sikukuu ya usafi nchi nzima

    Kuna ka wazo na mimi nimekatoa humu JF nasubiri katekelezwe. ...
  12. A

    Ndoa uongo mtupu

    Kiongozi mbona kama umehemkwa hivii!
  13. A

    Watumishi wa umma hawaruhusiwi kumiliki biashara, mali na vitega uchumi kupitia taaluma zao?

    Mh.waziri nadhani anajua nini anachokifanya tumpe muda
  14. A

    Wengi mna haka kaugonjwa

    Unakukuta mtu ulaya aliendaga miaka sita iliyopita. ...lakini mpaka leo anapost mipicha ...haka kaugonjwa nako mnatakiwa mpate tiba mpone
  15. A

    Mikopo ya BAYPORT

    Wazo . ..miaka 3 ukiweka kidogo kidogo utakuwa na 5.5 bila riba. Sasa haraka ya nini. ..5.5 unapata nyumba lindi? Ogopa matapel. ..ukumbuke kuja kuleta mrejesho
  16. A

    Ndoa uongo mtupu

    Jumamosi hii kuna mtu kadanganywa. ..kaoa tunaojua drama yetu macho
  17. A

    Ndoa uongo mtupu

    Ndoa uongo mtupu
  18. A

    Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni

    Uzi utawavuruga watu kiimani
  19. A

    Exclusive: Bifu zito kati ya Diamond na Rommy Jones

    Wametafuta Kiki. ..na wamefanikiwa kuipata
Back
Top Bottom