Kama ni KAZI TU BASI hata na kulipa Madeni ya wastaafu wa Africa Mashariki ni kazi tu.
Tusiangalie mambo ya sasa wakati kuna wazee watanzania waliostaafu wanadai serikali miaka chungu nzima
Kuna mtu alikuwa na shida kama wewe akawa anafua nguo za wanachuo wenzake kwa fedha kidogo "DOBI" aliweza kupata fedha ya kujikimu.
Swala la ada fuata ushauri uliopewa na wadau.
Ila issue ya misosi ondoa aibu kuwa dobi.
Mtu akisema waafrika hatuna akili povu linatutoka tunadai tunatukanwa.
Sioni sababu ya kuuana wenyewe kwa wenyewe. ...lazima tuwe na desturi ya kuheshimu sheria na kujali utu.
Burundi wanasahau violence haileti suluhisho ya migogoro, bali inaacha makovu yasiyofutika mioyoni mwa watu na...
Wazo . ..miaka 3 ukiweka kidogo kidogo utakuwa na 5.5 bila riba.
Sasa haraka ya nini. ..5.5 unapata nyumba lindi?
Ogopa matapel. ..ukumbuke kuja kuleta mrejesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.