Pesa yake ya PSSSF ndo italipa madeni hayo na kama pesa haitoshi unatafutwa ulipe deni lako.
Ili uwe pensionable lazima uwe umechangia kwa muda usiopungua miezi 180 (miaka 15)
Kwa miaka yako 10 bado haujawa pensionable
Mmemchefua Mwigulu Nchemba hamtaki kutuma na ya kutolea mwezi huu tukutane tarehe 31 kama salary slip inavyojieleza.
Maana kutoa kabla ya tarehe ya mwisho wa mwezi ilikuwa ni ihsaan tu na siyo sheria
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nina simu aina ya Samsung Galaxy A30, kila mara inaonesha internal memory full, na inashindwa ku-operate kabisa, hadi ninalazimika kuzima simu na kuiwasha tena ndio kidogo inakuwa na free space.
Ikizingatiwa sijaweka vitu vingi vya kuifanya ijae. Sasa ninashindwa kuelewa iwapo hii simu ni fake...
Kila mara simu yangu inaleta notification ya kuonesha haina free space na ikizingatiwa ina sijaweka vitu vya kuielemea, na ina internal ya 64GB.
Tatizo ni nini?
Una maanisha nini? Hivi kwa nini watu wanakuwa na mtazamo hasi kuwa walimu ni watu walioshindwa kufanya vizuri katika mitihani yao! Hili jambo si sahihi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.