Search results

  1. Abuwhythum

    Nikiamua kuacha kazi, mfuko wa PSPF watanipa stahiki yangu?

    Pesa yake ya PSSSF ndo italipa madeni hayo na kama pesa haitoshi unatafutwa ulipe deni lako. Ili uwe pensionable lazima uwe umechangia kwa muda usiopungua miezi 180 (miaka 15) Kwa miaka yako 10 bado haujawa pensionable
  2. Abuwhythum

    Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

    Yupo sawa, ni suala la approximations, na ipo into two decimal places.
  3. Abuwhythum

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni pagumu sana hapo. Wameshapiga mahesabu yao, watapata pesa mingi sana. Bora ubeti mwenyewe kwa options laini laini,
  4. Abuwhythum

    Naomba kujuzwa App ya kudownload video za youtube

    Very and very applicable. Thanks and be blessed
  5. Abuwhythum

    Naomba kujuzwa App ya kudownload video za youtube

    Wapendwa ukiachana na Videoder naomba kufahamishwa app nzuri ya kudownload video kutoka YouTube na kwingineko kwingi
  6. Abuwhythum

    Tunaosubiria mshahara wa Julai 2021 kwa hamu tukutane hapa.

    Mmemchefua Mwigulu Nchemba hamtaki kutuma na ya kutolea mwezi huu tukutane tarehe 31 kama salary slip inavyojieleza. Maana kutoa kabla ya tarehe ya mwisho wa mwezi ilikuwa ni ihsaan tu na siyo sheria [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  7. Abuwhythum

    Tatizo la simu kuonesha 'internal memory full'

    Inaonesha others sasa haijulikani hiyo others ni vitu gani
  8. Abuwhythum

    Tatizo la simu kuonesha 'internal memory full'

    Nina simu aina ya Samsung Galaxy A30, kila mara inaonesha internal memory full, na inashindwa ku-operate kabisa, hadi ninalazimika kuzima simu na kuiwasha tena ndio kidogo inakuwa na free space. Ikizingatiwa sijaweka vitu vingi vya kuifanya ijae. Sasa ninashindwa kuelewa iwapo hii simu ni fake...
  9. Abuwhythum

    Tatizo la simu kukosa space

    Kila mara simu yangu inaleta notification ya kuonesha haina free space na ikizingatiwa ina sijaweka vitu vya kuielemea, na ina internal ya 64GB. Tatizo ni nini?
  10. Abuwhythum

    Wameniliza infinix hot 8 yangu,nifanyeje,box ninalo wadau

    Box lako litunze vizuri, itaendelea kuwa kumbukumbu Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  11. Abuwhythum

    Wataalam msaada wa haraka unahitajika

    Tafuta origional and fast charger
  12. Abuwhythum

    Wataalam msaada wa haraka unahitajika

    Kwani mwanzo ilikuwaje?
  13. Abuwhythum

    Car4Sale Pajero GDI kwa Milioni 4.5

    Vipi utumiaji wa mafuta, ni wastani wa km ngapi kwa lita 1?
  14. Abuwhythum

    Tv Star X smart Tv inanitia ushamba naombeni msaada

    Mtandao gani? Funguka tukuwezeshe
  15. Abuwhythum

    Tatizo la ajira Tanzania: Nafasi za Ajira ya Ualimu 13,000, waliotuma maombi kuziomba wafikia 80,000+ hadi leo!

    Mnaongelea daraja la kwanza kwa level ipi? O-level? Advance? Au Chuo? Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  16. Abuwhythum

    Tatizo la ajira Tanzania: Nafasi za Ajira ya Ualimu 13,000, waliotuma maombi kuziomba wafikia 80,000+ hadi leo!

    Una maanisha nini? Hivi kwa nini watu wanakuwa na mtazamo hasi kuwa walimu ni watu walioshindwa kufanya vizuri katika mitihani yao! Hili jambo si sahihi kabisa
Back
Top Bottom