Ndugu wananchi....
Msimu ujao wa ligi ya mabingwa Ulaya tunaweza kuufuatilia moja kwa moja kupitia Facebook.....
Hii ni kwamujibu wa Fox Sports kuungana na Facebook kurusha michuano hiyo moja kwa moja....
Habarini ndugu wananchi.....
Mtandao wa kijamii Telegram(wenyemfanano na Whatsapp) unakumbana na kesi yakuhusika na mlipuko uliotokea huko Urusi.....
Vikosi vya ulinzi vinautaka mtandao huo(Telegram) kuachilia data zao iliwafanye uchunguzi lkn Durov(mmiliki wa Telegram) anakomaa hataki...
Habari ndugu,
kama subject inavyosema, mambo yanayotajwa kufundishwa JKT yote yanapatikana mashuleni tena kwa miaka 6.
1.UZALENDO
Elimu yetu inatuandaa kua wazalendo toka primary, kupitia somo la civics ambalo ni lazima kulisoma mpaka mwisho. Na walimu wanafanya juhudi kutengeneza vijana...
Habari zenu ndugu,...
Inavyoonekana hapa kwetu Tanzania mahusiano ya vitu tajwa hapo juu ni makubwa mno, Je! Ni kawaida vitu hivi kwenda sambamba au ni mazoea yamepitiliza....
Wakuu,
Tunaweza kuzifahamu stable investments, ambapo mtu akihitaji kujiingiza katika uwekezaji huo atapata mafanikio makubwa zaidi baadae...
Akhasantenin.
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamkokuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wahuduma za simu nchini kufuatia kubadilika kwa vifurushivya mawasiliano. Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandaoya simu kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiajiwa simu anapojiunga na...
Hii ni biashara ninayoiwazia kuifanya siku zote, na kama sitaifanya mimi basi ningependa kuiona ikiwepo (sijajua kama ipo mahala popote, sijabahatika kujua kama ipo)
Game farming: Hii ni biashara ya kilimo itayo husisha mtu yeyote kua mkulima hata kama hana shamba
Itavyofanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.