Mimi ni muhanga walipewa dili na mtu alieniuzia simu ambayo alikuwa anaitumia takriban mwaka na kitu..tuliuziana kwa maandishi bila risiti hawa jamaa walishirikiana na aloniuzia wakasema simu imefanya tukio sehemu laki saba ikaibiwa na mtu akapewa madawa akazimia akaibiwa na cm..hawa jamaa...
Wiki ijayo mungu akipenda naenda chakata mke wa mtu,ni mtu mzima sana so nikifanikisha ntaleta mrejesho ujasir nimetoa wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe mkuu tena narudia ubarikiwe kila ulichoandika umenigusa hakika nabadilika kuanzia muda huuu....mkuu narudia tena ubarikiwe kwa uzi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi ni dakika chache nimetoka kupokea simu ya mwanamke wangu wa kiha sh 170000..simu imeita akasema njoo chukua hii hela uzungushe.
Huyu dada kunipa hela kwake nikutokana na nisimuache maana anajua mi nina demu mzuri kuliko yeye hivyo anatumia hyo mbinu ili nimuoe mbeleni
Sent using...
Kweli dunia ina mambo tena dunia inamambo vijambo toka kitambo,kama ukifata mkumbo utakwenda kombo...bora unyamaze tuu ujifanye hauna makuuu ukipata unakula kuku ukikosa unanyamaza tuuuuuu
Na wewe ulivoanza kusimulia niliogopa sana nkajua umeanza kunisema mimi...ila ulivosema jamaa anakaa kahama nikajua sio mimi...mimi hapa nilikuwa nakaa lunzewe mwanamke ndo ushirombo asee nilikoma tabia ya kuzaaa nje tena na wasumbwa alinisumbua mpaka nimehama kabisa nimerejea home arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.