Song Lyrics: Return to Sender
Artist: Elvis Presley
Year: 1962
Return to sender, return to sender
I gave a letter to the postman, he put it his sack
Bright in early next morning, he brought my letter back
She wrote upon it
Return to sender, address unknown
No such number, no such zone
We had...
Artist: Bob Marley
Song: Babylon System
Album: Survival
Year: 1979
We refuse to be
What you wanted us to be;
We are what we are:
That's the way (way) it's going to be. You don't know!
You can't educate I
For no equal opportunity:
(Talkin' 'bout my freedom) Talkin' 'bout my freedom,
People...
Habarini za kaz waungwana, nimeweka kifurushi cha Startimes lkn bado sipati chanel, ninamashaka hakijaingia km ilivyo kawaida, nawezaje kuangalia km balance ipo? Tafadhari kwa anaejua
Nimekuja na ushauri huu kutokana na kuwa madaktari kunawkt km wanabahatisha vile na ukija kufika Muhimbili utaambiwa tatizo co hilo na unakuta umepoteza muda na pesa na ugonja umefika pabaya.
Kuna mama mmoja mtotowake alishituliwa ubongo hadi muhimbili wakataka wajue ni kwann madakari walifanya...
Habarini wana jamvi, naomba kwa anaejua utaratibu wa kupata cheti cha kuzaliwa pale Rita. Nataka nijue naanzia wapi na naishiwa wapi, na natakiwa niende na vitu gani. Na vp inagarimu kiasi gani? Naomba kwa aliyewahi kuprocess hicho cheti anaisaidie tafadhari.
Bado kunawatumishi ambao wanamiliki vyeti visivyokua vyao, wamebahatika panga limewakosa kosa, kutokana na ukweli kuwa:
1. Wamiliki halali walikuwa watumishi wa serikali, lakini walishatangulia mbele za haki, ambao labda wangekuwepo vyeti vingegongana.
2. Wenye vyeti halali sio watumishi wa...
Jamani naomba niulize, ni studio gan/ producer gan wa mziki hapa bongo mwenye kiwango cha juu karibia na kimataifa, anayeweza kutengeneza miziki mizuri ya RnB, POP, RocknRoll na Soul? Anaitwa nani na Studio zake zpo wap? Nagharama zao zpoje kwa Audio moja? Co wale wanaojua Zouk na Afropop tu...
Niliwahi kusikia kuwa wanaume hunawiri sana kipindi wake zao wananyonyesha, sijui hii ni kwasababu ya kupunguza kugegeda au huwa nao wananyonya.
Maana pia niliwahi sikia akina mama wengine wanawaanzishia watoto maziwa ya kopo wakidai maziwa hayatoki kumbe hunyonywa na waume zao hivyo Mtoto...
Mimi ni mwanaume, nakumbuka miaka kama 10 iliyopita, nilikuwa natokea Shamba pekeyangu kwa Miguu huku nilebeba Mzigo mzito begani, kutokana na mvua iliyokuwa imenyesha kwa muda fulani mbele kulikuwa na Mto ambao ulikuwa umejaa.
Kabla sijavuka ule Mto nikaona mabinti kama nane hivi wanaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.