Duu una age 24,bado 6 yrs ukanyage 30, duu fanya fasta bwn upate mtoto wa kustick nae forever,hey wadau mpo wap? Mpen msela dili apunguze upweke! Ok am out bro nyagidry na mjan"
Mambo vp wazee wenzangu!mimi kwa mtazamo wangu hapa bongo naona tuna masuper staa watatu tu,nao ni AY,HASHEEM THABEET,P.FUNKY AKA MAJAN.coz hawa jamaa wamefanikiwa sana kufanya mambo flan tofaut tofaut na kuteka au kutu represent fresh, tukianza na hasheem hope anajulikana kwa kupiga kikapu...
<br />
<br />
sielewi mantik ya nyie kubishana eti udom ni bora kuliko udsm,hahaha,udom kwa majengo 4sure wapo juu,wingi wawa nafunz4sure wapo juu,wanafunz wamekua wengi pale just bcoz wengi walipata div 2 mpk 4 kwn uongo?then udsm staff yao inatisha mpk international student wanakubali mzik...
<br />
<br />
malongo yuko kwao mbulu longtime ile fan ilimshinda coz alikuwa na mambo yake ya ajabu ajabu,alikuwa anagonga mtungi mby mpk sometime anaharibu kaz then jamaa ni mruka sarakas mzur sana,so ameamua ku2tulia huko kwao mbulu
Kijana kapata ajali maeneo ya mikumi morogoro, alipokuwa anatoka mbeya,kwenye shoo!forsure cjajua kaumia kiasi gan!ila ma info 2takuwa 2napeana humu,MUNGU AMPE NGUVU.
Sidhani kama kuna haja ya kupeleka washiriki wa kike kule, manake hawana ubunifu wowote kwani wanachojua ni kusex, then unajua mwanamke aliyewahi kushinda ni mmoja na tena alijiheshim sana.
Sasa Bhoke kadanganywa na ernest tena wakafanya mapenzi kavukavu,lotus naye eti ana lipiza,sasa mi...
Cjajua walitumia vigezo gan kuwachagua wewe na lotus,ambapo lotus yeye alishaonesha utovu wa nidham mapema na kutolewa,then ukabaki wewe je? Ulidhan kweli unaweza shinda hayo mahela? Umefanya mapenz watu tumekuona je ndio tulichokutuma? Hiv ukifika bba lazma ufanye mapenz? So watanzania...
Mabere marando ame2pwa kwenye kinyanganyiro cha uspika so 2tarajie ubabe wa makinda ili kunusuru chama chao lakin wapinzan wa ukweli kama chadema watamfundisha kazi manake 2namjua vizuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.