Hivi nauliza jamani hiyo Clouds FM ni redio ya CCM? Halafu huyu kilaza Kibonde anapata wapi ubavu wa kuongea issues zinazogusa jamii hovyo hovyo namna hii, amenikera sana. Eti obvious Anna Makinda atashinda Uspika na hizo analysis zake mbuzi!! Sijui nimpe adhabu gani huyu?:sad::spider:
Madam THivi nauliza jamani hiyo Clouds FM ni redio ya CCM? Halafu huyu kilaza Kibonde anapata wapi ubavu wa kuongea issues zinazogusa jamii hovyo hovyo namna hii, amenikera sana. Eti obvious Anna Makinda atashinda Uspika na hizo analysis zake mbuzi!! Sijui nimpe adhabu gani huyu?:sad::spider: