watu wanaongea kwasababu ametajwa Dr Dau! Unachoongea si cha kweli, mimi nimekaa bweni na nimefundisha hiyo shule kwa muda zaidi ya miezi 3, nimeona wanaffunzi kutoka sehemu mbalimbali, ikiwemo kanga, Kirongwe, banja, na hata chemchem! Kulikuwepo na wanafunzi kutoka utende, chole na jibondo! Huo...
Hapa sidhani kama kuna ukweli wowote, kwani mimi naifahamu sana hiyo mafia na viwanja vimegaiwa mara nyingi na hao wanaoitwa wakristo ndio wanavyo na wamejenga nyumba na wanafanya makazi, Maeneo ya kigamboni, hospitali na dongo, kote kuna viwanja, ambavyo wafanyakazi wa serikali wengi ambao si...
Siwezi kutoamini kwamba ww unajiita ni kijana wa CCM, na matusi kama haya! Kwani kuna baadhi ya vijana tunao kwenye CCM kwa maslahi binafsi! Kama ww upo kwenye UVCCM ungenifaham!
Baraza kuu UVCCM(M) Pwani.
Thanks Mkuu, ila ningependa kukuhakikishia ya kwamba ni kweli nimetumwa, nimetumwa na dhamira ya kweli ya kusimamia ukweli na haki, nimetumwa na dhana ya ukweli kwamba watanzania wamechoka kusikia kila kukicha wanasikia serikali yao inashughulika na mambo ambayo hayana + impact na dhamira yao ya...
kuwa ccm sio maana yake ukubaliane na kila ambalo linaonekana si sahihi! Ccm hairuhu ukandamizaji wa haki za raia! Mkuu mimi ni ccm na ni kiongozi! Lakini kwa hili nimetoa msimamo wangu binafsi na si kama nimeisemea jumuiya!
M.Nyundo
Ningependa kutoa msimamo wangu juu ya matukio yanayotoke huko Arusha kama kijana Mtanzania, mpenda nchi yangu na watu wake, pia kama kijana kiongozi ndani ya UVCCM.
Siridhishwi na hali inayoendelea huko Mkoani Arusha na jinsi suala hilo linavyoshughulikiwa.
Siridhishwi na namna ya dola...
Huyo mkapa si kwasababu aliuza migodi yote kwa wazungu wa dini yenu ndio maana alifaa? Pia aliwauzia wakristo wenzake nyumba za umma, na kujiuzia mgodi wa kiwira! Huo ndio uongozi uliotukuka! Usiongee tu mtu wangu, fanya kwanza utafiati hata mdogo tu, angalia mafisadi wanaoitafuna nchi kama si...
Wakuu, ITV wapo live kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya chuo kikuu cha dar es salaam, wageni mbali mbali naona wameshafika, na wengine wanaendelea kufika. Miongoni mwa waliofika ni, Rais Mstaafu wa awamu ya pili Al haj Ali Hassan Mwinyi, Jaji Mkuu wa Serikali, Mh Mwinchande, Waziri wa Nyumba na...
kama wataka mapumziko kwa utulivu, wahitaji kukaa ufukweni! Option nzuri, panda ndege hadi kisiwa cha mafia, kuna aidha coastal aviation, ambayo inafanya safari kila siku saa sita na saa tisa, au tropical air saa tano kila siku, fare yao ni shiling laki moja one way! Mafia waweza kufikia butiama...
uongozi una ethics zake, angetaka mambo hayo asingeng'ang'ania majukumu ya umma! Hawa juzi si ndio waliokuwa wanaambiwa na jk dodoma kwamba waache haya? Tatizo jk ameruhusu wamdharau sana! Na wanamfanya kama tambara vile!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.