LIVE: Maadhimisho ya Miaka 50 ya Chuo kikuu cha Dar es salaam

nyundo

Senior Member
Apr 13, 2007
100
11
Wakuu, ITV wapo live kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya chuo kikuu cha dar es salaam, wageni mbali mbali naona wameshafika, na wengine wanaendelea kufika. Miongoni mwa waliofika ni, Rais Mstaafu wa awamu ya pili Al haj Ali Hassan Mwinyi, Jaji Mkuu wa Serikali, Mh Mwinchande, Waziri wa Nyumba na Makazi Mama tibaijuka. Wabunge, Mawaziri na Mabarozi Mbali mbali. Wakuu tujuzane na tupeane taarifa muhimu juu ya Mafanikio umuhim, mapungufu na mchango wa UDSM Kwa taifa letu.
Nawasilisha!
 
Nimepita Rev square vijana wamebeba mabango yenye ujumbe tofauti na baada ya kufuatilia nimeona wanaanza safari ya kuelekea Nkrumah Hall ambapo MUSEVENI na KIKWETE wapo hapo! Ujumbe mkubwa kwenye mabango hayo ni suala la MIKOPO! kUna askari wengi sijui kama vijana hawa wataishia wapi! sina kamera na natumia simu ambayo siwezi ku-upload pics! More updates zitafuata kama nitafuatilia!
 
Vijana wapo njiani kuelekea Nkrumah, wananidhamu ila sijui mwisho wao utakuaje! Itanibidi nifuatilie ila nataka niwahi kuvaa joho maana leo ndio napokea kale ka degree ka uzamili hapo Mlimani city
 
Hongera kwa 'Kadigrii' Elli. Ukipata muda endelea kutujuza yanayojiri hapo
 
Hivi nauliza swali rahisi tu
7500*30=225000
hiyo ni boom anayopata wanafunz kwa mwezi'
1.je kima cha chini cha mshahara watz ni sh ngap'
2.japo maisha ni magumu lakini nachulia kusema vijana wa chuo kikuu ndo wanaogoza kwa anasa'
hebu tuiganyawe hyo 7500
1.asubuh chai 500
2.nauli mayb yuko mabibo campus kwenda na kurudi 600
3.mchana vyakula ving ndan ya campus ni 1000 na jion 1000.tukiweka na maji 500'hv hata 5000 per day inafka kwel hapa naongelea wale wanaopata 100%.wakaleta maandamano ili iongezwe anasa za kuonga wanawake'kunywa pombe ziongezeke
wanafunz wa udsm mbona sijawah kuwasiki mkiandamana
1.huduma bora za afya
2.mauaj ya albino
3.unyanyasaj wa kijinsia
4.elimu mbovu nchin
5.umeme
nyie mnataka boom 2'poor tz hk kizaz kijacho ndo kitakuwa the worst ever generation in our country
 
wakifanikiwa kupenya wamshukuru mungu maana ffu wanapenda sifa sana. hawawezi kukubali maandamano yafanyike na wakati mkulu wao yupo hapo. ngoja tusubiri
 
Tunashukulu endelea kutujuza vp tatizo nini je madai yao nini hasa.
Ni maandamano ya kumpongeza Kikwete kwa aidia yake nzuri ya kuchangisha pesa kwa ajiri ya ujenzi. Japo watu waliobobea katika masuala ya Siasa za Africa wanadai Kikwete anajaribu kurudisha imaji yake ambayo imepotea kabisa miongoni mwa wasomi na vijana
 
Vijana wapo njiani kuelekea Nkrumah, wananidhamu ila sijui mwisho wao utakuaje! Itanibidi nifuatilie ila nataka niwahi kuvaa joho maana leo ndio napokea kale ka degree ka uzamili hapo Mlimani city
 
Wanadai wanampongeza JK lakini ukisoma yale mabango ni sawa mtu akutukane halafu aseme sijakutukana bali nimekusifia!!!!!
 
Kuna raia ka 14000,wa 1st year wamechaguliwa vyuo mbalimbali na hawana mikopo,ndio kilio chetu kikubwa wakuu..ndio tunajaribu kumfkikishia mkuru ujumbe,maana yeye anaweza akawa hajui
 
miaka 50 ya UDSM matatizo kibao. maktaba chakavu, madarasa hayatoshi.malazi ya wanafunzi aibu tupu. usafiri kero. walimu haba alafu poorly paid. sioni dhana ya kusherehekea.kitengo cha engennering kinashindwa hata kutengeneza viti vya wanafunzi. what is this? focus inakuwa shopping malls. what a HELL
 
Hivi nauliza swali rahisi tu
7500*30=225000
hiyo ni boom anayopata wanafunz kwa mwezi'
1.je kima cha chini cha mshahara watz ni sh ngap'
2.japo maisha ni magumu lakini nachulia kusema vijana wa chuo kikuu ndo wanaogoza kwa anasa'
hebu tuiganyawe hyo 7500
1.asubuh chai 500
2.nauli mayb yuko mabibo campus kwenda na kurudi 600
3.mchana vyakula ving ndan ya campus ni 1000 na jion 1000.tukiweka na maji 500'hv hata 5000 per day inafka kwel hapa naongelea wale wanaopata 100%.wakaleta maandamano ili iongezwe anasa za kuonga wanawake'kunywa pombe ziongezeke
wanafunz wa udsm mbona sijawah kuwasiki mkiandamana
1.huduma bora za afya
2.mauaj ya albino
3.unyanyasaj wa kijinsia
4.elimu mbovu nchin
5.umeme
nyie mnataka boom 2'poor tz hk kizaz kijacho ndo kitakuwa the worst ever generation in our country

Itakuwa ni boom kwa wale waliokosa! lakini kama ni amount wanayopata sioni kama ni busara hata kidogo kwani inapita hatakima cha chini cha mshahara na ikizingatiwa wao hawana familia na hawakatwi kodi... kama ni kwa wale waliokosa ufadhili wakati ni masikini kweli ni haki kwani watoto wa makabwela wako majumbani wamekosa uelekeo wakati wamefauru vizuri
 
Hongera kwa 'Kadigrii' Elli. Ukipata muda endelea kutujuza yanayojiri hapo

Asante Mpwa, ngoja vijana wataendelea kutupatia updates nakimbilia ukumbini maana jana sikuwepo kwenye rehearsal. Asante Mpwa
 
Majanikv umenena kweli, kama hawa watoto wanalalamikia kiwango cha 7500 wanalo lao jambo!! sisi tuliishi kwa 2500 wakati ule na ukichunguza sio kwamba gharama zimepanda sana toka wakati ule mapaka sasa, mfano:
1. wakati ule nauli ilikuwa 200 saizi ni 250/300 tofauti ta mia tu
2. wakati ule chakula cha kawaida mabibo ni 700/800 saizi 1000 tofauti ya 200 au 300
n.k
Lakini bumu limekuwa tripled, hawa watoto zitakuwa anasa. May be kama hoja yao ni kukossa mikopo hapo ndio naona hoja zao zina mashiko.
Tatizo serikali ilijifanya inaweza kusomesha watu wote wakati uwezo huo haina na ndo maana yote haya yanatokea. zamani ukipata division I form 6 wazazi wanakuchinjia hata kuku kukupongea maana kwenda chuo na kupata mkopo wakati huo ilikuwa sawa na pie
siku hizi mmmmmhhhhhh hata upate division I ya point moja bado kwenda chuo ni kizungumkuti.
Hii ndo tanzania nchiyetu
 
Hivi nauliza swali rahisi tu
7500*30=225000
hiyo ni boom anayopata wanafunz kwa mwezi'
1.je kima cha chini cha mshahara watz ni sh ngap'
2.japo maisha ni magumu lakini nachulia kusema vijana wa chuo kikuu ndo wanaogoza kwa anasa'
hebu tuiganyawe hyo 7500
1.asubuh chai 500
2.nauli mayb yuko mabibo campus kwenda na kurudi 600
3.mchana vyakula ving ndan ya campus ni 1000 na jion 1000.tukiweka na maji 500'hv hata 5000 per day inafka kwel hapa naongelea wale wanaopata 100%.wakaleta maandamano ili iongezwe anasa za kuonga wanawake'kunywa pombe ziongezeke
wanafunz wa udsm mbona sijawah kuwasiki mkiandamana
1.huduma bora za afya
2.mauaj ya albino
3.unyanyasaj wa kijinsia
4.elimu mbovu nchin
5.umeme
nyie mnataka boom 2'poor tz hk kizaz kijacho ndo kitakuwa the worst ever generation in our country
acha unafiki wewe chakula cha 1000 kipo wapi nchi hiii!?
na wewe ni lini uliandamana kwa ajili ya hapo juuuu!
WATANZANIA WENGI NI VILAZA TUU!
 
Back
Top Bottom