Habari zenu. Royalmark Investment Co LTD iliyopo Dar es Salaam, Tanzania. Leo tarehe 11.5.2018 inawatangazia nafasi zifuatazo za Kazi.
1. Computer Technician (HardWare)
2. Internet Network
3. Weak Electric
4. Electric
Elimu uwe na Diploma au Bachelor Degree. Kama una Kigezo Hicho na Ungependa...
Habari zenu. Future Group Company iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, Inatafuta Mpishi wa Kike anayejua kupika Vyakula mbalimbali vya Kichina.
Kama unaweza kupika Vyakula hivyo na Ungependa kufanya Kazi na Sisi tunaomba tuwasiliane kwa namba 0622704744
Ahsante.
Habari zenu. Future Group Company (FGC) iliyopo Mbezi Beach Dar es Salaam, Kiwanda Kinachojishungulisha na Utengenezaji wa Glass Curtain Walls, Balustrades na Bidhaa nyengine za Aluminum kama Aluminum Fence, Aluminum Windows na Aluminum Doors.
Leo tarehe 18.4.2018 tunakutangazia kuwa...
Habari zenu. Future Group Company iliyopo Mbezi Beach Dar es Salaam, leo tarehe 14.3.2018 inawatangazia nafasi 5 za Civil Engineers. Elimu uwe na Bachelor Degree.
Kama una Kigezo Hicho na Ungependa kufanya Kazi na Sisi tunaomba ututumie CV yako kwenye Email ifuatayo: hrfbde@gmail.com...
“Muda wa kuona Wagonjwa umekwisha, Wagonjwa wanataka Kupumzika” Aliingilia kati Maongezi hayo Mmoja kati ya Wale Madaktari Wawili waliokuwa wakimsukuma Martin kutoka Nje. Baada ya Kusikia Kauli hiyo, Wanafunzi wote walimuaga Angela na kuanza kutoka nje ya ICU.
***************
Nje ya ICU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.