Ahsante mkuu.Penati halali.
Lakini mkuu huyo manzi kwani mmehalalisha yaani ndoa inahusika au ndio ile kibingwa?Hata angenunua mwenyewe, haibadilishi hatma yake.
Ulitegemea kupata jibu tofauti kutoka kwa shabiki wa utd??Ahsante mkuu.
Kwani nimemzuia kununua kwa hela yake? Kuhusu hatma yake kwangu ni uamuzi wangu. Anunue tu nishajua wapi anafaa.Lakini mkuu huyo manzi kwani mmehalalisha yaani ndoa inahusika au ndio ile kibingwa?
Kama haina ndoa hapo ni yeye na maamuzi yake jinsi ya kutumia pesa yake
Una hakika kuwa hata akiwa nayo kweli hawezi kukuomba umuongezee??Ahadi ni deni, angekuwa nayo asingenifuata nimuongezee.
Hahaha mi najua shabiki wa utd wengi wanaipenda madrid,wengi wanampenda ronaldolabda ingekuwa Barca!
KweliNi kweli, Umeona mbali sana.
Njia nyingine rahisi ya kumtambua aliye sahihi au si sahihi - Waweza kumpa kama laki tano, na kumwambia fanyia chochote. Then baada ya muda muulize ametumia vipi? Utashangaa anakwambia nilienda kusukia Brazilian hair hela yote!
Hatima yake kwako OK!Kwani nimemzuia kununua kwa hela yake? Kuhusu hatma yake kwangu ni uamuzi wangu. Anunue tu nishajua wapi anafaa.