Mbona mzuri tu..Sauti yake nzuri haina uhusiano mzuri na Sura
Mzuri lakini sio Kama sauti yake. Sauti imemzidi uzuriMbona mzuri tu..
Ukipiga simu kama unayempigia hapatikani kuna sauti inayokwambia Samahani mteja unayempigia hapatikani kwa sasa.Dada aliyerekodi hilo tangazo huyu hapa.
Lakini inaweza kumtoa nyoka pangoni.Sauti yake nzuri haina uhusiano mzuri na Sura
Hapo sawaMzuri lakini sio Kama sauti yake. Sauti imemzidi uzuri
asee simpendi yaani ana kiherehere sana pale unapopiga alafu ukute salio halitoshi huwa ni mwelesi sana kujibu kabla hata cm simu haijaanza kuitaUkipiga simu kama unayempigia hapatikani kuna sauti inayokwambia Samahani mteja unayempigia hapatikani kwa sasa.Dada aliyerekodi hilo tangazo huyu hapa.
sema walah...ni wa mtandao gani sasa?
Au voda, airtel, tigo, halotel wote wanatumia saut yake?
unafanana nae?Mbona mzuri tu..
Ndio.unafanana nae?