Search results

  1. K

    Topics kupotea hapa JF reference : ICT Training videos

    Kuna uzi unaojitokeza hapa JF kuhusu uuzaji ICT training videos ambao maswali yameulizwa kuhusu uhalali wake. Hizo video training "zimeokotwa" kwenye wingu la internet na "mjasiriamali" mmoja hapa ameamua kufanya dili, cha kufurahisha ni kuwa mtu akiishuku hiyo biashara hiyo thread punde...
  2. K

    Kilimo Kwanza: Sweet potatoes

    The Sweet Truth about Sweet Potato Production in Louisiana - YouTube
  3. K

    suruhisho (sp) la wizi wa mitihani

    Kila mwaka hii ishu huwa inajirudia rudia na wahusika kutishia makali ya sheria kuikabiri skendo hii. Naona sasa wapanue wigo wao wa kuchambua nini cha kufanya, inasemekana fibre optic cable sasa imeshatandazwa kote nchini, je hakuna IT solution ya kurahisisha uchapishaji mitihani kwa muda...
  4. K

    Community Secondary and college: A not for profit education provider.

    Kwenye ukumbi huu, kumekuwa na maongezi kuhusu kuporomoka kwa elimu na pia kupanda kwa michango ya shule (fees) kwa wazazi. Ufaulu unaopatikana kwenye shule za binafsi wengine wanaamini kuwa ni changa la macho kwani kuna shule zingine zinaweza kuhusishwa na udanganyifu kwenye matokeo ya mitihani...
  5. K

    WESTADI, kuweni serious!!!!!

    Nimepokea email kutoka kwa hawa jamaa baada ya kujaza details zangu kwenye ukurasa wao. Nikiangalia nani ananitumia e-mail naona kuwa anatumia free gmail.com email account na zaidi, hiyo e-mail pia ipo 'forwarded' kwa mtu mwingine anayetumia NSSF.or.tz account. Kuweni serious!!!!
  6. K

    Wapi pa kuipunzisha simu?

    Nimeangalia hii picha on IssaMichuzi na najiuliza, hapa kweli hapana maafa? Baadae isiwe ikawa ishu jamani!!!! http://1.bp.blogspot.com/-mlLgxBXy-48/T7uaFWil3WI/AAAAAAABbCg/eiTIbBvxzTU/s1600/4.jpg
  7. K

    Using internet from free wifi zones? Compromised internet access?

    Please view this vid and realise that when you get hacked (pc/password (admin), email/password, site/password) this is how simply it get's done. SCARED? I AM!
  8. K

    Kupakua data kutoka kwenye tovuti

    Nina shida ya kutengeneza list ya mashule na maeneo yalipo mfano: Maua Seminary KILIMANJARO MANOW LUTHERAN JUNIOR SEMINARY MBEYA Nimeipata hiyo detail kutoka necta lakini najua kuna urahisi wa kutumia ICT techniques kupakua hizo details zote na sio kufungua kila ukurasa na kunukuu...
  9. K

    For our budding web developers.

    Came across this today and thought you might be interested Selenium Tutorial 1 Selenium IDE Testing RC Selenium Web Driver GRID Selenium Framework Training - YouTube Selenium: A tool to test web sites and web pages A quick case I could think about is for our web administrators to manage...
  10. K

    nitasoma.com

    Je hii kampuni bado ipo? Au bahati nasibu haikuwa dili? Naona website nitasoma.com haipo, na blogspot (Nitasoma) haina post mpya.
  11. K

    Ualimu na mwajiri

    Je, management ya mwalimu inafanywa na wizara ya elimu au pale wilayani? Nimefungua pdf ya waliochaguliwa 2011/12 na mwajiri inaonyeshwa kuwa ni either MKURUGENZI MANISPAA, MKURUGENZI MTENDAJI, au KATIBU MKUU Kwa anaye fahamu structure ya management please, nipe details. Ninachojaribu...
  12. K

    WARNING: A new scam doing its rounds via e-mail.

    Kuna scam inatumwa via e-mail na kuweka jina lako kamili inayoahidi mapesa kiasi cha $5,000 kila siku baada ya wewe kutuma "Registration/Clearance fees" kama kawaida hii ni ya kuitupa in the bin...
  13. K

    Learning HTML, CSS, Javascript? Here's an online tool to test your code snippets

    Create a new Fiddle - jsFiddle sample code: see this page: (might need to search for jsFiddle incase the page count changes) http://www.virtuosimedia.com/search/javascript/2
  14. K

    Kilimo Kwanza newsletter

    Read Publications from KilimoKwanza's Library | YUDUfree
  15. K

    Keeping our vernacular languages alive.

    Saw this today and wondered, can we help to keep alive our languages for the next generations? Duolingo | Learn English, Spanish and German for free Need to learn Kikulya, but don't know where to start, can such a facility help our nation to keep our traditional languages alive. beyond this...
  16. K

    Free web hosting companies

    Wish the mods can sticky this thread.... For budding web developers, here is a place you can show off your techy wizz... http://www.000webhost.com http://www.x10hosting.com
  17. K

    Computing Hardware simplified and cheap as chips and pies (35Dollars)

    Well, maybe a couple of bags of chips with your favorite diet drink. Raspberry pi have brought forth this morning their flagship computer sized as a credit card (maybe a little fat though) that is primed to revolutionize access to computers especially to our end of the world. Will be running...
  18. K

    Ghost Workers/Students and the cost to the tax-payer

    Following the recent drive by the government/Ministry of Education to try and eradicate/get a handle on the never-ending saga on ghost workers, I got to thinking how an ICT based system can/could be used to at least capture some of the info being sought by the government and form a basis on...
  19. K

    No comment!

    http://www.youtube.com/watch?NR=1&feature=fvwp&v=qM-_qKkgb1E Kama hii inayofuata ni kweli!!!! http://www.youtube.com/watch?v=DHrSulXPYu4&feature=related
  20. K

    Privacy laws on personal info/data in TZ government sites

    On the ministry of education page, I have noticed that personal details i.e. exam results and teacher posting displaying the info in spreadsheets, Don't we have a privacy policy in TZ.
Back
Top Bottom