Kumtumikia Mungu kuna faida kaka.Niambie ni mwanamziki gani wa mziki wa kidunia ie bongofleva si mlevi au mwasherati?wao Wana fanya kazi ya Mungu aliye hai wakati wengine wakifanya kazi ya shetani.
Huyu Mzimu ana boa sana.Nadhani wachunguzi wamfuatilie inawezekana siyo mtanzania huyu.Waislam wenyewe wenye akili nzuri hii mahakama ya sharia hawaitaki sasa wewe ni Nani mpaka ujifanye una uchungu sana?una boa mno.
Mimi pia ni HAPANA na wangedhubutu kuweka mahakama ya kidini ndo kabisa Hata kura nisingepiga.Waislam anzisheni mahakama nyie wenyewe Kwa gharama zenu.Mkachinjane wenyewe.
Zitto alikuwa ana impact kubwa sana CHADEMA.Mbona yule Shibuda hamjamfukuza?Zitto Kichwa huwezi kumfananisha na hao mbululula viongozi wa Chadema.
Mimi Kwa sasa nitampigia Lowasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.