Bongo kazi zipo nyingi tu tatizo madogo either vigezo hauna vya kupata ajira, GPA ndogo au hamjitumi kutafuta...ukuiwa na lower second au pass unafikiri nani atakupa ajira..so mimi nakushauri kama unavigezo vilivyojitosheleza wewe endelea kutuma maombi na muombe mungu ipo siku utapata..usikate...
DAR ES SALAAM, Oct 11 (Reuters) - Tanzania has granted a licence to Vietnam-based telecoms operator Viettel to build a third-generation (3G) mobile phone network in the east African country, a senior official said.
Viettel will compete with the four other main operators: Vodacom Tanzania, a unit...
hakuna mtu wa kukuelekeza wewe jinsi ya kutumia BOOM...unatakiwa kutumia boom kwa matumizi yako yote muhimu kama kwa bahati mbaya likielekea kuisha piga pasi ndefu au kopa....utajifunza tu!!
kweli uzee siku hizi mwisho msata....mtu mzima namna hii miaka zaidi ya hamsini afu unaongea upumbavu...jiangalie umri umeenda acha kujifananisha na kina diamond zama zako zimeisha kuwa mstarabu...duh kweli like father like son
mimi ninaexperince miaka mitatu..nina CCNA na MCSA ila hivi vyeti vyote wanavyoviweka nadhani nimaksudi tu kutuchuja watu....huwezi mtu ukawa na vyeti vyote hivi...
Kama leo ambavyo tumeona rasimu ya katiba imepitishwa kwa chereko wakati BMK ikihitimisha kazi iliyowaweka pale Dodoma.Mimi nami katika kuhitimisha naomba japo niulize je kupitishwa kwa hii katiba na staili ya upitishwaji wake unamaanisha nini kwa UKAWA. Je ni pigo takatifu kwa ukawa na hawana...
hosteli udsm chafu sana sikushauri ukae km una hela yako...yapo magheto mazuri tu yametulia mitaa ya survey hapo....km mtoto wa mkulima inabidi ukubali maisha ya kubebana hamna jinsi tumetofautiana kwa kila kitu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.