Chukua hiace Ndugu yangu tata wakukamatia gari yako bure kisha wanapiga mnada marejesho ya mkopo n 3.5m kwa mwezi alafu hiyo hesabu ya 200k kwa cku itakushinda utabadili madereva mpaka uchoke ruti inayoweza angalau kidogo no chanika-gerezani ila Bari itachakaa ndan ya mwaka tu
Leo ikiwa ni Siku yangu ya kuzaliwa ningependa japo kidogo nizungumzie kuhusu Tanzania yangu.kabla ya yote napenda kuweka wazi Itikadi na msimamo wangu Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa Tanzania ila huwa nimfatiliaji wa siasa za Tanzania na duniani kwa ujumla baada ya kusema hayo...
Ndugu zangu nataka nipige apo nit dipl ya logistic&transport management jamani naweza pata msaada wenu ili nipate nafasi apo au nimechelewa naombe msaada wakuu mwenye dertails za jinsi ya kupata nafasi
0756773023 no yng
benedictdatius@gmail.com
Kwa mawasiliano zaidi
Ingawa mimi sio mwana Ccm ila ungesema awamu ya nne akuna aliyemsafi tungekubaliana na weww tena walio madarakani ila nyuma kulikuwa viongozi wasafi kama wafuatao
1:WARIOBA
2:SALMU AMED SALM
3:BUTIKU
4:KARUME
Huyu jamaa namfaham kwa jina la ALI ni mfanyabiashara wa supermarket na mafuta yeye ndiye anayesambaza mafuta kwenye minara za simu karib tanzania nzima kuna magari ya kusambaza mafuta huwa yameandikwa NEWL hii ni kampuni ambayo huyo mmiliki wa TSN wanawapa mafuta ili wasambaze kwenye minara za...
Ndugu zangu naomba kujuzwa kesi ya dowans kwa yoyote anayeijua imefikia wapi au tumekwisha walipa maana swala la dowans limekuwa kimya uwenda wamekwisha wapa rushwa wabunge ili walizime tujuzane ndugu kwa mwenye taarifa
Pole ndugu ata mm tatizo limenikuta tena mara nyingi ila ukweli ni kuwa bize na mambo yk apo anampenzi mwingine kutokana na uchunguzi niliyofanya mm kutokana na kukubwa na matatizo kma ayo
Ndugu zangu nilikuwa nimechaguliwa chuo cha tiba tandabui ila wafazili wangu wakakataa kunilipia ada ila nilikuwa nimekwisha lipa laki 4 je naweza pata transfer ya chuo af chuo ga naweza pata au nimechelewa msaada ndugu kwa mtu yoyote anayeweza kunisaidia atumie no 0756773023
Mm binafsi niliwai kuwa na mpnz wanamna hiyo alinilazimisha nimuingilie kinyume na maumbile nilijali baadae nilikataa nilijalibu kumchunguza nikagundua anangalia porn zenye mambo ayo ivo mimi sishauri yafanyike mambo ayo
Naombe yoyote anayejua mahusiano ya nchi izo mbili nimekuwa nasikia ni maadui je nikwl af eti lile gereza la guantanama liko cuba na kwnn wakati ni la marekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.