Habarini wakuu. Nina mpango wa kuanzisha NGO kwa ajili ya kusaidia kundi la watu wenye mahitaji maalumu kama vile walemavu wa viungo, ngozi, usikivu na macho. Walengwa ni umri wa miaka 1-35. Naomba kufahamishwa taratibu za kufuatwa na mambo ya kuzingatia.
Wasalaam waungwana. Naombeni kujuzwa namna ya kuandaa "Office Hand Over Document/Barua ya kukabidhi Ofisi" Mimi ni mtumishi wa Umma nimepata uhamisho sasa nataka kuandaa hiyo document sina uelewa mpana wa vitu vya kuweka katika hiyo document.
Karibuni..
Ukiitafakari kwa makini huu msemo utagundua kuwa hakuna haja ya wapenzi kuwa na michepuko, mana huko unapochepukia ndio njia kuu ya mtu mwengine. Ni sawa na ile nahau isemayo "Ganda la muwa la juzi, chungu kaona mavuno"
Hili neno huwa linatumika sana katika wakati wa ujazaji wa nyaraka mbalimbali mf. Mikataba ya ajira,hospitalini,mauziano ya vitu n.k.
Swali langu naomba kuelimishwa "implication" yake hasa ktk mikataba mbalimbali,je huyo anayekuwa NOK ndio atakuja kuwa mrithi wako pindi utapofariki.?!
Habarini wadau. Juzi nimepokea sms toka Vodacom kuwa nitakatwa tshs 300. Hii imekaaje jamani,kwani ni lazima tuwe tunatumia mpesa mara kwa mara ktk kufanya miamala yetu.?! SMS yenyewe hii hapa;
Utakatwa Tsh 300 kama gharama ya mwezi ya kutunza akaunti ya M-Pesa kutokana na kutotumia akaunti yako...
Habarini wana jamvi.
Naombeni msaada pete ya ndoa imetumbukia chooni na imeshaflashiwa.
Je kuna namna ya kuweza kuipata. Leo ni siku ya 06 tangu tukio hilo litokee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.