Ndesalee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 1,085
- 513
Habarini wakuu. Nina mpango wa kuanzisha NGO kwa ajili ya kusaidia kundi la watu wenye mahitaji maalumu kama vile walemavu wa viungo, ngozi, usikivu na macho. Walengwa ni umri wa miaka 1-35. Naomba kufahamishwa taratibu za kufuatwa na mambo ya kuzingatia.