Search results

  1. S

    Online Shopping and Shipment

    Habari zenu wana JF...sikupata forum nyingine yeyote zaidi ya hii kuwasilisha hoja yangu... Nataka kujua kama yupo yeyote aliyewahi kununua online kupitia kwa "e-bay" na akaipata hapa TZ mzigo wake...maana hawa jamaa huwa hawafanyi shipping outside US.. Wanauza vifaa bei nzuri...
  2. S

    Radio za gari zinaishia frequency ya 90 tu

    Kuna kidude kinauzwa 20,000 Fundi anakufanyia installation kwenye redio ya gari unaweza ukapata frequency zaidi....watafute wauzaji wa redio za magari huko lumumba na kwingine...mie ninaitumia.
  3. S

    Work Placement/ Field Attachment/ Internship

    I am a Tanzanian male studying at a local higher learning institution for a degree in Accountancy...looking for a field attachment for a period of two months beginning August 2011...can be on any terms either paid or unpaid...location to work: Dar es Salaam. Please contact...
  4. S

    MsAADA: MOBILE SETTINGS 4 AIRTEL INTERNET

    Manual settings haitakubali.....ni bora upige simu Customer Care ili wai-activate internet kwa ajili ya line yako....halafu ndio uweke manual settings yeyote hata ya vodacom itafanya kazi....kama kwangu....
  5. S

    Msaada-paypal

    Habari zenu wakuu....ningependa kuweka ujuzi wangu hapa.....na pia nina maswali..... Credit card ya Exim (ambayo mie ninayo)...kuna Silver (min. Balance ni 1m na unaweza kutumia hadi laki 8)...na Gold (min. Balance ni 3m).... Hiyo Tembo Visa Card ni kutoka benki gani?...min. Balance kiasi...
  6. S

    Mgomo mwingine walipuka IFM

    wts gng on at IFM ryt nw?...has the management tried 2 solve the issue?
  7. S

    vipi kuhusu internet ya tigo?

    kwenye mtandao wao wanasema bundle ikiisha utatumiwa message....lakini bundle ina limit ya MB ngapi hawajataja....hehe...hao nao bwana....
  8. S

    Zain/Airtel Manual Settings?

    Asante VeniGan...it was helpful...peace...
  9. S

    Zain/Airtel Manual Settings?

    Asanteni kwa ushauri wenu....nilipiga cmu customer care...wakaniunganishia intaneti huko huko kwenye kompyuta yao bila kutuma settings kwangu...mhudumu kaniambia ku reboot cmu..kisha nijaribu...nilikuwa na settings za voda kwenye cmu yangu...na nimefanikiwa kutumia net ya airtel kwa settings za...
  10. S

    Zain/Airtel Manual Settings?

    Naomba mtu yeyote anisaidie na manual settings za mtandao wa zain/airtel maana nimehangaika kutuma meseji 232 bila mafanikio...simu yangu ni Nokia E72, nitahitaji CONNECTION NAME, ACCESS POINT NAME, AUTHENTICATION, HOMEPAGE, NETWORK TYPE, PHONE IP, DNS, PROXY...nimejaribu kucheza nazo lakini...
  11. S

    Nini kinachofuatia IFM na MZUMBE baada ya kuchaguliwa na TCU ???

    Habari zenu kaka/dada zangu...majina ya waliochaguliwa na vyuo vikuu yameshatoka huko vyuo vingine kama IAA, Ruaha na mengine yakielekeza kinachofuata yaani kuchukua admission form na mengine...lakini wakina IFM na MZUMBE mbona wako kimya??...yeyote aliye na taarifa naomba mnijulishe...
Back
Top Bottom