Ungebadili heading ukatia ndani hili neno DEMAGOGUE. Maana makala yako nzima imeegemea kwenye aina hiyo ya viongozi.
Lengo kubwa la thread yako ni kuonesha MKULU wetu anaegemea kwenye aina hiyo ya viongozi. Lakini sijaona mahali popote kwenye thread yako ambapo umethibitisha kama wale/hao...
Endelea kusubiria meli airport. Na kama hiyo meli ikija. Haitamaliza safari yake salama na kama ikimaliza safari salama itakua safari ya kihistoria na kila mtu atamkubali.
SABASABA ilikua ni sherehe ya kuadhimisha kuzaliwa kwa TANU. Ambapo tanu ilizaliwa tarehe 7 Julai 1954. Na TANU ikaungana na ASP ikazaliwa CCM. Kwa mara ya kwanza sikukuu hii iliazimishwa mwaka 1963, Na mpaka leo hii bado sikukuu hiyo inaadhimishwa nchini, japokua ni kama imevalishwa koti la...
Umenikumbusha mbali sana ndugu. Enzi za kucheza Gololi na kidali.
Ila radio mawingu wako vizuri kuangalia fursa. Wao ni kama nzi, wakiona kidonda tu wako radhi wafie hapo. Pia ni jambo jema wao ni wabunifu ila wawe na balance kwenye jasho la wengine.
Tanzania kuna mambo mengi sana hayajatangazwa na hakuna anaejali. Nimekaa Arusha miaka kama mitatu ila sijawah sikia jambo kama hili, Watanzania tuna mengi ya kujivunia na kuyaweka wazi mbele ya macho ya dunia na wananchi wetu wote.
Ila tatizo ni Viongozi wetu wamekua wakifanya mambo kwa mazoea...
Experience matter, utapata wapi mbongo mwenye experience ya dams design and construction nchi hii bila kugusa wanataaluma ambao wanafanya kazi ndani na nje, hata kama wapo ni wachache sana na ni nani anawajua. Kazi zenyewe zinatokea mara moja kwa miaka 20 labda.
Huu uzi niliudharau juzi, na ulianza kama mzaha iv ila kwa speed hii ni hatari. Mpaka kufikia wiki ijayo itakua inakimbizana na Makapuku kwa ukaribu sana. Salute kwa alieuanzisha japo kaanzisha kitu cha kijinga sana.
The Vikings ni series kali balaa, then itafuata Prison Break.
Kwenye Vikings nilichopenda ni zile busara na ujasiri wa Ragnar Lothbrok. Kabla hajafa kipindi kile anaumwa nilijisemea akifa tu sitaiangalia tena. Ila kwa jinsi walivotengeneza mazingira ya kufa kwake, natamani sana niangalie...
Mr bean anaanza anakuja Chaplin, wanakuja wengineo.
Mr bean ni one man army. Yeye hata akikaa pekeake atakuchekesha tu. Kuanzia sura, posture na vitendo vyake. Hategemei mtu mwingine ili ucheke, ni yeye, idea zake za kipuuzi na mazingira yaliyomzunguka.
Charlie yeye comedy zake nyingi...
Zitume hizo tano tuamin, otherwise tutaendelea kuamin iliyopo. Ila kiukweli Mwanaume kwa mwanamke ni kama mfupa kwa fisi. Au nzi kwenye kidonda yupo radhi afie hapo hapo.
Mtu wa aina na kaliba ya mbowe alipaswa achukue tahadhali katika kila ovu analofanya sio kwa kujianika ivi.
Inapaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.