Pata nakala ya Gazeti la Wajibika linalotoka kila siku ya Jumatatu ambapo wikii hii kuna kali zifuatazo:
-Wanaomhofia Lowasa kugombea Urais Watajwa pamoja na kuoneshwa picha zao.
-Mnunuzi viungo vya Albino akamatwa na kiganja Dar.
-Majengo ya Umma yanatesa walemavu
-Gesi asilia kuifanya...
Daah Watu wameishiwa na huruma na kufanya wenzao kama kuku. Naomba kufahamu tukio hili limetokea siku gani maana naona muda tu,lisije likawa n matukio ya zaman
Baada ya kufanya vizuri kwenye single yake Mwana, Ali kiba time hii ametusogezea hii single mpya Chekecha Cheketua aliyoiachia leo rasmi
Bonyeza hapa kuingia kuisikiliza na kudownload moja kwa moja
Nyimbo Mpya: Alikiba- Chekecha Cheketua Download na Usikilize Bureee ~ Sbm Broadcast
Super Brain Media inapenda kukutangazia nafasi ya kipekee kwa wale wote wenye uwezo wa kufanya vipindi vya Television (TV), Radiokutuletea Demo ya kipindi ambacho kitakuwa kinamaadili mema kwa Jamii kwa ujumla na kiwe hakijawahi kufanyika popote pale.
kwa zaidi fungua hapa...
Swali la kizushi kwako leo... Je,? Umewahi Kuiona Picha Ya Mwl,' NYERERE Akiwa Amevaa Sare ya CCM ?
Tafuta Popote Dunian Ukipata Kuna Zawadi.. Kama Ukishindwa
Muulize Mwenzio Kama Hakuna Jiulize Kwanini?
Watu wa nne wamefariki Dunia na wengine 44 kujeruhiwa kufuatia ajali ya Basi la Abiria la Wibonela liliokuwa likitokea Kahama Kuja Dar es Salaam kujaribu kulipita gari lililokuwa likifukuzana nalo na Hivyo kumshinda nguvu Dreva na kusababisha ajali katika eneo la Phantom Mkoani Kahama...
Me sijaelewa badoo vzr hiyoo miili ndio walikua wants I Chang any is kwenye kuku supermarket amaa
Nyama za supermarket zilizopindwa au kusagwa zichunguzwe jaman huh ni unyama interchick jaman
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline
hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa
na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege
hiyo ambayo ilikuwa imebeba wanajeshi 6 wa
Marekani wakitoka Entebe kuelekea South
Sudan imetua kwenye barabara ya magari
baada ya hitilafu kutokea ikiwa hewani...
Soma taarifa hii ya IKULU ya Dar es salaam kuhusu Bomu la Zanzibar
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pole Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kufuatia kuuawa kwa mtu mmoja na wengine sita kujeruhiwa akiwemo...
Ndug vip huko hospital umepata taarifa gani na je kuna ukweli wowote kuwa katika ajali hyo yupo na mwanalisa na vip hakuna tuliyempoteza plz tujuze ndg jf
But walishajirekebisha cuz walpewa mda wa miez 2 tokea mwaka jana mwez wa 7 so mpaka nw wapo vzr tu msiwatishe wanaotaka kuingia katk tasnia ya habar umuhimu n kupata kaz nasio chuo waweza pata chuo kizur lakn chet kikariwa na panya kabatini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.