Huyo aliyeleta thread nasikia kapigwa kipigo cha mbwa mwizi kwenye uchaguzi wa bavicha huko kigamboni.
Badala ya kushawishi wanachama wa chadema wampigie kura ye alikua busy kutunga umbea ili akaupost jf.
Tatizo hao vijana wa bavicha na mashabiki wao wamekalia kutafuta umaarufu wa kijinga kwenye mitandao ya kijamii wakati wenzao wanaojitambua wako kitaa wanajiwekeza kwa wanachama hai.
Hiyo picha ya yerere ndio taswira halisi ya chadema. Wako busy kwenye mitandao wanawatukana waasisi wa taifa...
Inawahusu hata misukule wa ufipa. Jamaa kaubalansi mzani usitake kumchagulia upande, au hujausoma vizuri uzi wake.
Funguka kijana acha kuwa mtumwa wa wanasiasa. Hakuna mwanasiasa mwenye uchungu na maisha yako. Wote wachumia tumbo kama wewe ulivyo mchumia tumbo kupitia shughuli yako.
Kaka maendeleo ni mchakato usiokuwa na mwisho. Hata marekani bado wanaendelea kutafuta mafanikio zaidi.
Usitegee awamu ya Kikwete kama ndo imalize matatizo nchi nzima kwa awamu ya mihula miwili.
Hata nchi zilizoendelea angalia zimepata uhuru lini, ni miaka kibao.
Hata ukileta wazungu...
Hiyo picha iliyotumika hapo kwa bakhresa ni ya mdogo wake sio bakhresa orginal mwenye mali. Hakuna media hata moja yenye picha yake na anatembeleaga viwanda vyake mara chache sana.
Muda mwingi anapumzika nyumbani kwake kutokana na matatizo ya kiafya, kwan umri umemtupa mkono kidogo hivyo nguvu...
Ila nahisi show yao itakua imefulia make hata kule instagram hawajaweka picha wakati sio kawaida yao. Make hata kama dangote ana.kuny.a lazma atupie picha yake.
Kila akifanyacho anatupieko. Hata show zote lazma wakaiweke instagram ila hii ya tunduma kaishia kuweka picha za barabarani wakawi...
tunawaomba na chadema waweke picha za mkutano wao uliofanyika mwanga centre jana.
Jamaa walizomewa live ila wameamua kujifariji kwa drama zao za uongo kama kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.