Ally mvano
Member
- Jul 31, 2014
- 73
- 24
Ni baada ya kumporomoshea matusi mgombea wa Jimbo Hilo wa 2010 Ally Khalfani Mleh.taarifa zaidi tutawajuza.
... Ingekuwa Act Ni Chama Cha Upinzani, Hata Mimi Ningejiunga. Lakina Sasa....
Ni baada ya kumporomoshea matusi mgombea wa Jimbo Hilo wa 2010 Ally Khalfani Mleh.taarifa zaidi tutawajuza.
Kwa akili yako hii tarifa unaona imekamilika?Ni baada ya kumporomoshea matusi mgombea wa Jimbo Hilo wa 2010 Ally Khalfani Mleh.taarifa zaidi tutawajuza.
Umeambiwa taarifa zaidi zina kuja , wewe tatizo una kimuhemuhe kama cha Habib ........Kwa akili yako hii tarifa unaona imekamilika?
ACT mbona mikutano yao mingi ni Kigoma kuna siri gani?
Nauliza tu.
Chadema hali yenu ni mbaya sana.