Mjue Bakhresa katika picha na matajiri wenzake 10 waliopo Tanzania

Bakwata ipo kuwagawa hawa waislam.Na ndicho kitu kinachofanyika.Bakwata ingekua ni taasisi yenye weledi maendeleo ya jamii ya waislam yangekua mbali sana

Tuache kuwalaumu Bakwata kila mara kuhusu kujenga Vyuo vikuu au maendeleo ya elimu. Hivi katika nchi za Kiislamu ni nchi gani iwekeza kwenye Elimu ya juu au kuthamini elimu. Saudi arabia. Iraq. Pakistan. Somalia. Oman. Palestina .....etc. Au mfano hai kuna wa tz wengi tu nawafahamu ni muslim walikuwa na uwezo wa kusoma . Walikuwa na akili. Walikuwa na nafasi. Na hawakusoma . Na sasa wanailaumu bakwata.
 
<h1>mimi cfikirii kuwa bakharesa lakin naumiza xana kichwa kila siku ili niwe zaid ya bakharesa</h1>
 
Chanzo cha habar hii ni makanjanja hiyo kampuni ya Khoja shia ishnather ndio ipi?ilo ni dhehebu la Sabodo
 
Bakhresa kauza sana pembe za ndovu kipindi hicho Watanzania hawajazinduka. Akahamia kwenye sembe. Utajiri wake kiasi kikubwa umeanzishwa na mambo ya kishetani.

Wabongo bwana, sasa si na wewe uanze kuuza pembe za ndovu kisha uamie kwenye unga basi. Watu wanapambana kutafuta hela nyinyi mnakalia kupiga kelele tu.
 
Jamii forums bwana, yaanivichwa maji wamekuwa wengi sana siku hizi. Hii issue ya utajiri wa hawa jamaa hapo juu eti udini umeshaanza kuingizwa. Kazi kweli kweli.
 
wachaga ni noma wapo wa wili tu kwenye list ya hawa waarabu. mana hawa sio wa tz sema tu kuzaliwa uku ndo kumewafanya wakawa wa uku.
 
Hiyo picha iliyotumika hapo kwa bakhresa ni ya mdogo wake sio bakhresa orginal mwenye mali. Hakuna media hata moja yenye picha yake na anatembeleaga viwanda vyake mara chache sana.

Muda mwingi anapumzika nyumbani kwake kutokana na matatizo ya kiafya, kwan umri umemtupa mkono kidogo hivyo nguvu ya kupiga misele mara kwa mara hana.
 
Back
Top Bottom