mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,679
Sisi watz ndio maana kwa rank za mauchawi tupo juu! !
Mashairi gani? Ale dushelele dushelele dushe ndo hayo?
alikiba ana sauti nzuri tu
Wanaangalia credibility ya mtu soko la shigongo ni uswazi na watu wasiojielewa like mabeki tatu na niangusagee yaani vilaza first class ndio wateja wake.....mtu ambaye ni GT huwezi kumpa habari kama hii akakuelewa labda wew
Proffesor anasema ... ushawah sikiliza mashairi ya ali kiba kwa vizur. . Anyway ali kiba ana mashairi mazur kusikiliza .. Diamond nyimbo zake n nzur kucheza ..
umeoa beki3 nini manake manake unavyowaabudu imetosha sasa tumekuelewa
Ni sawa tu make show zake sio za kitoto....
Ha ha ha ndio ulimbukeni wenyewe huu unadhani ishu sana wakati king kiba yupo huku na nick minaji mwenye hits 50 billboard kumzidi Wacko Jacko......
Kalia kujifariji na huyo marehemu wakati kwenye soko la hisa dangote anazidi kupanda dau.