Oh ok nimekuelewa mkuu lakini kwamimi naona hapana maana si wengi wanaokula maboga ila unaweza fanya research ukaona soko lipoje. Na kama utalima yote ni sawa... Big up
Asee wewe unawazia kwenye ubongo uliopo kichwani kweli? hahahaa hapo kakupa tarehe yake ya kuzaliwa umewaza anakutaka je angekupa tarehe yake yakuingia siku zake si ndo ungewaza anataka umpe mimba? Hahahaa inaonesha wewe ndo una interest nae
Sasa unataka kuigawa nchi mara nne mana mara mbili ishagawanyika. Hata barabara ya Mwanza ipo kwenye muungano pia mana ni ya Tanzania na Tanzania ni Tanganyika na Zanzibar.
Sioni kama yanalipa, maana ni ya msimu. Lima ngogwe(nyanya chungu) na bamia...ni zinasoko sana halafu ni affordable.. Na ndoto hizo.. nimekuonjesha business plan yangu.
Yeah mi pia niliwahi mshuhudia huyo kuku, aliletwa nyumbani na Mama ilikuwa kila akila anakaa muda kidogo anataga yai... Lakini kesho yake tulimchinja:(, sa sijui alimtolea wapi. Yani ni ajabu, anataga tunamuona.
Mi namuunga mkono Makonda. Wangekusanywa pamoja kwenye vituo vyao, vituo viboreshwe na watu wahamasishwe kutoa misaada kule. Kuliko kukaa barabarani. Kuna omba omba wengine wanapata hadi elf 30 kwa siku lakin kwakuwa wamejiekea kuwa kesho ataomba tena basi hafikirii zaidi, anachojua tu...
Ulipomaliza 2011, ungeweza kuanza certificate level kwa chet chako cha form four kisha Diploma, leo ungekuwa level ya degree mwaka wa kwanza au wa pili. Lakin hakijaharibika kitu, weka jitihada utafanikiwa na jiamini pia. Ukiambiwa huwezi usione huwezi kweli, jiongeze na ujaribu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.