hakika hakufanya uchochezo bali alihamasisha amani na upendo kati ya waislam na wakristo...hakika dvd zinazoonesha mahubiri yake ya kuhamasisha chuki dhidi ya wasio waislam ni fake! aka wamemsingizia
mkuu mie nikafikiri baada ya hapo ungeendelea na.... karudi baba mmoja toka safari ya mbali, kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili...watoto wake wakaja ili kumtaka hali, wakataka na kauli iwafae maishani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.