sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Pongezi kwa Chama cha demokrasia na maendeleo katika jimbo la Rombo kwa kumpitisha Selasini aliyekuwa mbunge kwa miaka mitano na hakuna alichokifanya Rombo mbali na kuwataka wananchi wa Rombo kuuwa tembo wanaokuja kula mazao, kushiriki maandamano Arusha, kutokushiri kikamilifu bungeni katika kuishauri na kuisimamia serikali. Kazi ya kumwangusha katika uchaguzi mkuu itakuwa ndogo sana. Anatembea kwenye lami iliyopiganiwa na wabunge waliomtangulia wa CCM, anatumia maji yaliyopiganiwa na wabunge waliotanguliwa wa CCM, Selasini hata mradi wa umeme wa REA ameshindwa kuupigania umalizike kwenye jimbo lake.
Selasini hana tofauti na mbunge mwingine wa CDM aliyekuwepo Rombo ndugu Salakana maana hata yeye hakufanya lolote Rombo ndipo baadae akatimkia CCM na baada ya kuangushwa na Mramba Rombo ilipata lami iliyokuwa ikipiganiwa miaka mingi. Ni wazi kabisa wabunge wa upinzani wakipata nafasi Rombo hawawatei wananchi bali huzitumia kwa maslahi yao.
BACK CCM ROMBO 2015.
Selasini hana tofauti na mbunge mwingine wa CDM aliyekuwepo Rombo ndugu Salakana maana hata yeye hakufanya lolote Rombo ndipo baadae akatimkia CCM na baada ya kuangushwa na Mramba Rombo ilipata lami iliyokuwa ikipiganiwa miaka mingi. Ni wazi kabisa wabunge wa upinzani wakipata nafasi Rombo hawawatei wananchi bali huzitumia kwa maslahi yao.
BACK CCM ROMBO 2015.