Habari za saa hizi wakuu,
Mie ninaduku duku langu nataka kulitoa, ni hivi jana nilinunua vocha kwa ajili ya kurcharge modem yangu process ilienda vizuri nilifanikiwa kupata 400mb cha kushangaza nimeenda kwenye internet kutype page ninayotaka ikawainakataa kufunguka nikasema labda network...
Hivi tunawezaje kuishi kwa matumizi yafuatayo kila mwezi?
Fikiri matumizi nyumbani: chakula, umeme, gesi, maji, soda/juisi za wageni. Ada za watoto zinazolingana na za chuo kikuu.
Matibabu hospitalini, pesa ya walinzi kwa mwezi, sherehe za kuaga na kukaribisha mwaka mpya; Zaka ya kanisani na...
A Priest dies and waits in line at the Gates of Heaven. Just before
he reaches the front of the queue, a guy in casual Jeans and T-Shirt
pushes in.
The Angel addresses this guy, 'Who are you? So that I may know
whether or not to admit you to Heaven?'
The guy replies, 'I'm Phillipo, a...
Habari za jioni wana JF
Ninaomba ushauri wenu wapendwa, nina shughuli hivi karibuni na ninatafuta a THANK YOU FOR COMING GIFT amabyo its not so costy but unique.
Natanguliza shikurani zangu, cku njema everyone.
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.