Hivi wewe mwenye uzoefu wa miaka 30, hujui kuwa dunia inaenda ikibadilika?siku hizi kilakitu tec mzee. Kama ndivyo unavyotaka. Hebu kwanza niambie mafunzo ya kijeshi asili yake ni wapi? Na walioanzisha bado wanautumia mfumo ule ule? Hitla simjui ila hotuba zake niliziona. Manipulation. Mafunzo...
Lakini sasa huoni kuwa askari wetu wanaenda kama giza? Haijalishi waliamniwa wafanye nini ila walichokifanya hakikinzani na wanayofundishwa huko mafunzoni. Kama aliyoeleza mtoa hoja ni ya kweli huhitaji kuwa smart kuona kuwa askari wa Tanzania na Afrika kwa ujumla hawana ubinadamu na ubabe ndo...
Hakuna tofauti ya wanafunzi kuanzia msingi hadi chuo kikuu. Na mwalimu ni mwalimu kuanzia wa msingi hadi wale wanaojiita lecture. Mazingira ya wanafunzi ni kati ya factor wanazozibeba wanafunzi. Unaweza kuwa mkakamavi bila kuteswa na kutukanwa na kunyimwa chakula. Majeshi yetu yanafundisha...
Ukakamavu hauletwi na mateso. Hii ndiyo sababu askari wetu hawana utu, ni kwasababu mafunzo yao yanawaondolea itu na nidhamu. Hizi mbinu zilitumika enzi za vita vya dunia kuwamanipulate askari na kuwa brainwash. Sasa askari polisi una wa manipulate ili wafanye nini? Ndiyo maana matumizi ya nguvu...
Ikumbukwe kuwa watumishi wa umma wanastahili kuwa kioo cha jamii. Polisi walistahili kujifunza huma rights. Angalia yaloyotokea kwenye hiyo operesheni tokomeza ujangili? Utovu wa nidhamu unasababisha ukosefu wa utiifu. Wananchi wanijikuta wana jenga uadui kutokana na atitudes za askari
Kumjengea mtu ukakamavu na uimara si lazima kum abuse. Ndo maana askari wengi hawajui kitu kinachoitwa huma right nafikiri polisi wa Tanzania wangekuwa wanajifunza anatomi ili wajue mwili wa mwanadamu ulivyo na namna ya kuu handle na kuu treat. Ndo maana askari wa Tanzania hawana nidhamu...
Mbona nyie maendekeza sana ubaguzi na ukabila . Ukiona mtu anauona ukabila, ujue huyo mtu ni mkabila. Tanzania ni moja na sisi sote ni mamoja. Kama chadema imekufa yeye zito yuko upande gani? Huoni kwamba lengo la ZZK ni kukidhoofisha chama? Kwani viongozi wote wapingani na Zitto? Huyu bwana...
Kagasheki agewawajibisha watekelezaji wa operesheni kwa kutokutekeleza operesheni ipasavyo(human rights was absent) ila kwa Tanzania ni jambo la kawaida. Polisi anapiga na kuuwa halafu msemaji wa polisi anaeleza anachofikiria yeye
Unajua kiongozi anayesimamia mateso ya wananchi hana nafasi kwenye jumuiya inayozingatia haki za binadamu na utawala bora. Tatizo ni kwamba askari wetu ni watu wa ajabu sana. Wanatumwa wasake majangili wanaoua Tembo, wao wanaenda kukamata wananchi wanaopakana na misitu ya hifadhi. Sasa kwa...
Pole ndugu yangu yangu kuuliza ni kuongeza ujuzi. Simu yeyote yenye bluetooth inaweza kutumia wireless. Umbali kutoka kwenye simu hadi kenye bluetooth unategemea ubora wa bluetooth. Kuna bluetooth za kuzungumzia tu na kuna zingine za kuzungumzia na kusikilizia mziki.(si radio) ila hayo matumizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.