Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1438.jpg
First Name:James
Middle Name:Daudi
Last Name:Lembeli
Member Type:Constituency Member
Constituent:Kahama
Political Party:CCM

 
Huyu lembeli atapewa nafasi kama Mwakyembe......huko ndo watakapompatia!!!
Yaan serikali yetu hii haitaki ukwel au uguse mishe zao
 
ni waziri ambye alijaribu kutunga sera ya kuwanusuru tembo pmja na vifaru amepikiwa majungu mpka kakimbia.wauwaji wa tembo Wameshinda.

Kagasheki agewawajibisha watekelezaji wa operesheni kwa kutokutekeleza operesheni ipasavyo(human rights was absent) ila kwa Tanzania ni jambo la kawaida. Polisi anapiga na kuuwa halafu msemaji wa polisi anaeleza anachofikiria yeye
 
Leo kagasheki amejiuzuru, ameonyeaha uzalendo wa hali ya juu. Nimepanda sana jambo hilo na viongozi wengine mkiona ofisi zenu zinalega wajibika
 
Mh.Pinda kauli zake ni tata sana,hasa hawa watu wamevuliwa kwa kutowajibika katika majukumu yao,Then anakuja na kusema sio kwamba hawafai wanaweza tumikia nafasi nyingine,hasa kwa akili ya kawaida anadhani hizo sehemu nyingine zitatumikiwa kwa ufanisi hupi,si ndio hali kama hii ya mwanzo?
 
Huyu Mathayo nilisha sema ni BOMU tangu siku nyingi.
PhD hana kafoji. Ndiyo ni Dr wa kuchoma sindano ng'ombe na mbwa lakini si wa PhD.

Uwepo wake ni hali ya kupeana kimwenzetu si unajua Baba yake waziri mkuu wa zamani Mzee Cleopa Msuya??
Ili kukata maboya wajinga hajiiti Msuya anajiita Mathayo lakioni damu ni ya Mzee wetu.
Uzao wa Small House si unajua tena wazee wetu walivyo wazuri kwa BAKORA za nje?? Wapo wengi hao dizaini ya mathayo!!!

Nimemsikia huyu waziri akilalama kuwa bajeti yake huwa haitoshi yeye ili kutekeleza majukumu yake na kwenda mbali kuwa eti hawezi kwenda kukopa benki ili kutosheleza mahitaji ya wizara yake.

Najiuuliza, mbona Magufuli alikuwepo hapo na aliiweza wizara hiyo pamoja na kuwa na changamoto hizo za kutokuwa na fedha za kutosha? vile vile wizara zote za serikali hii mzigo huwa hazipati fedha zote?? Mathayo huyooooo
 
Back
Top Bottom