Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,605
- 220,425
Muda wote umebanwa na mavi hakuna hata pointi moja umewahi kuchangia....... Ujinga mtupu
kamanda usihangaike na mizimu , jikite kwenye uzi tu .
Muda wote umebanwa na mavi hakuna hata pointi moja umewahi kuchangia....... Ujinga mtupu
Ndugu tumia akili kidogo kinachozungumziwa hapa ni mateso na unyanyasaji uliofanywa/unaofanywa na vyombo vya usalama vya serikali ya CCM wewe unakuja na hoja ya ruzuku. Jadili hoja sio kuleta vihojaDr.Slaa amebakia kuropoka hovyo bila kupima, hivi makubaru walikuwa wanavipa ruzuku vyama vya siasa kila mwezi, wanakula mpaka wanakopesha.
Amesema ana ushahidi wa picha/video na kama ni kweli anao na uko kwenye std hiyo anayosema ya unyama nadhani atakua na haki ya kusema hicho alichosema, although kweli ni sentensi zinazowezahamasisha....Hivi kwa nin dokt slaa haonei watu huruma, huu ni uchochezi, fitna na uzandiki usio wa kawaida. Hivi anaelewa alichokisema, au nafurahia kuropoka tuu??
Dr.Slaa amebakia kuropoka hovyo bila kupima, hivi makubaru walikuwa wanavipa ruzuku vyama vya siasa kila mwezi, wanakula mpaka wanakopesha.
Sasa anawaambia wananchi kujiandaa kufanya mabadiliko. Yote yanayofanyika ndani ya nchi yako ndani ya uwezo wa wananchi kuyabadili.
View attachment 128218
Sidhan kama Dr Slaa ana jipya kwa sasa! Chadema ijiimalishe upya kwa kutatua matatizo ya ndan ya chama
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums