Kijana anaishi kwenye handaki katika ardhi ya UDSM

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,927
81,140


Huyu jamaa ni noma UDSM mpo? ardhi huvamiwa hivi hivi kaanza mmoja watakuwa kumi na baada ya hapo mia kuja kuwatoa hapo itakuwa ni ugomvi plus fidia
 
Last edited by a moderator:


Huyu jamaa ni noma UDSM mpo? ardhi huvamiwa hivi hivi kaanza mmoja watakuwa kumi na baada ya hapo mia kuja kuwatoa hapo itakuwa ni ugomvi plus fidia


Rekebisha hapo kwenye heading yako ni handaki sio handani
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa hatakiwi kuachiwa anatakiwa achukuliwe maelezo yakina zaidi ana weza akawa noma huyu.
 
hakuna cha unoma jamaa anaonekana very intelligent na nimependa analysis yake juu ya ulipaji wa kodi mwanzoni nilidhan amepungukiwa lakin baada ya kumsikiliza nikagundua jamaa yuko timamu na ameenda shule hata kama hajafika chuoni
 
hakuna cha unoma jamaa anaonekana very intelligent na nimependa analysis yake juu ya ulipaji wa kodi mwanzoni nilidhan amepungukiwa lakin baada ya kumsikiliza nikagundua jamaa yuko timamu na ameenda shule hata kama hajafika chuoni

kweli kabisa mkuu...jamaa upstairs yuko poa
 
hakuna cha unoma jamaa anaonekana very intelligent na nimependa analysis yake juu ya ulipaji wa kodi mwanzoni nilidhan amepungukiwa lakin baada ya kumsikiliza nikagundua jamaa yuko timamu na ameenda shule hata kama hajafika chuoni

Mimi pia nimemsikiliza naona upstairs yuko fit. Lakini hadi anachimba mpaka kujipatia himaya hakuna mamlaka ye yote iliyomwona au hata watu baki ambao wangeweza kutoa taarifa kwa vyombo husika? Kumbe hata alshabaab wanaweza kujichimbia mahandaki na kujisetiri bila shida yo yote? This is a country and a half.
 
Chachaaaaa,

Dah, yaani nje anachomekea smart na tai, kumbe anaishi kwenye shimo.

Bongo ni zaidi ya uijuavyo!!
 
Mimi pia nimemsikiliza naona upstairs yuko fit. Lakini hadi anachimba mpaka kujipatia himaya hakuna mamlaka ye yote iliyomwona au hata watu baki ambao wangeweza kutoa taarifa kwa vyombo husika? Kumbe hata alshabaab wanaweza kujichimbia mahandaki na kujisetiri bila shida yo yote? This is a country and a half.

TISS wapo kweli?
 
TISS wapo kweli?
Tiss wanahusikaje hapo? Mbona hamtumii akili? Yule ni raia wa tanzania na maisha ndio yamemfikisha pale huyo ni sawa na watoto wa mitaani tu.' Kwani nao wanashughulikiwa naTSs? Embu achen kujifanya wajuaji wa mambo wakati hata fikra hamna',mbona watoto wa mitaani wanalala mitaroni hatuwasikii mkiwataja tiss? Wa hamjawahi kuwaona vijana wasio namakazi na wana lala mitaani? Wanatofautiana nini na huyo? Kwani mmesikia kafanya uharifu kwa miaka mnne yote alio kaa hapo? Huyo ni swala la kujadili atapataje makazi ya kudumu hili ndio lamaana hayo mengine ni umbumbumbu wenu tu na kujifanya wajuaji wakati hamna lolote.
 
Kale ka wimbo ka jaydee nilivoona kavaa suti na kashikilia mafolder
 
jamaa ana akili sana yule, uwezo wake wa kujieleza na kujiamini ni zaidi ya hawa wanaojiita marais wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu hapa tz
 
I was impressed kuona pia ana visitors' book. looks like pale ni SOHO (small home office)
 
hamna lolote anaji-contradict anataka atozwe kodi wakati amevamia ardhi ya taasisi na halipi kodi

Kwanini wanadamu mnakuwa hasi kiasi hiki? Huyu jamaa ana ibora wa juu kuliko viongozi wenge wanaoongoza Tanzania. Sikiliza maongezi yake kwanza
 
Back
Top Bottom