Mafunzo ya polisi kama ndo haya nimeshindwa

Kumjengea mtu ukakamavu na uimara si lazima kum abuse. Ndo maana askari wengi hawajui kitu kinachoitwa huma right nafikiri polisi wa Tanzania wangekuwa wanajifunza anatomi ili wajue mwili wa mwanadamu ulivyo na namna ya kuu handle na kuu treat. Ndo maana askari wa Tanzania hawana nidhamu kwakuwa hawafundishwi nidhamu.

Shame on you!
 
Kumjengea mtu ukakamavu na uimara si lazima kum abuse. Ndo maana askari wengi hawajui kitu kinachoitwa huma right nafikiri polisi wa Tanzania wangekuwa wanajifunza anatomi ili wajue mwili wa mwanadamu ulivyo na namna ya kuu handle na kuu treat. Ndo maana askari wa Tanzania hawana nidhamu kwakuwa hawafundishwi nidhamu.

Kwani raia wanafundishwa nidhamu !??
 
Nililazimika kutoroka mafunzo ya polisi CCP miaka mitatu iliyopita,kilichonikimbiza ni jinsi mafunzo yalivyokuwa yanatolewa ,kufika tu nilikutana na bango limeandikwa HAKUNA HAKI ZA BINADAMU HAPA nilistuka kidogo na kutaka kujua ni haki zipi hizi .Lilipoanza somo la UVUMILIVU ndilo lililonifanya nikimbie kwani lugha inayotumika ni matusi ambayo kiukweli mengine ni mapya sijawahi kuyasikia, anaitwa mtu(kuruta) na anaitika,mfano tulianza kuitwa ASHAKUM SI MATUSI'WE MKU..DU NILIYEKU ..LA JANA njoo hapa,WE MALAYA MAMAYAKO ALIYETO..BWA UKAPATA NAFASI YA KUJA HAPA NJOO"na matusi mengimengi ya ajabu ambayo huwezi kuamini kuwa yanatoka mdomoni wa wakufunzi ambao ni watu wazima ,na NI LAZIMA UITIKIE NDIYO AFANDE.kiukweli siku ya kwanza nilishudia watoto wa kike wanamwaga chozi na vilio juu.Niliumia sana na kujiuliza hivi jeshi halina njia nyingine ya kufundisha uvumilivu kisaikolojia zaidi ya hii sikupata jibu nikanyoosha mikono juu nikatoroka usiku huohuo.

Yaani hapo CCP umekimbia dah, sasa ungepitia pale TMA Monduli sijui ingekuwaje. Lazima uwe askari Training Soldier [ TS ] kwanza hata kama una PHd yako [proffesion yako iweke pembeni kabisa] ufundwe baada ya kumaliza mafunzo ndipo jeshi litaangalia likutumie vipi kutokana na elimu yako.
 
Kwani raia wanafundishwa nidhamu !??

Ikumbukwe kuwa watumishi wa umma wanastahili kuwa kioo cha jamii. Polisi walistahili kujifunza huma rights. Angalia yaloyotokea kwenye hiyo operesheni tokomeza ujangili? Utovu wa nidhamu unasababisha ukosefu wa utiifu. Wananchi wanijikuta wana jenga uadui kutokana na atitudes za askari
 
Kazi kweli ni maamuzi yako mwenyewe kama umeamua kukimbia umande ni wewe na maisha yako JESHINI HAMNA KUBEMBELEZANA.
 
Ikumbukwe kuwa watumishi wa umma wanastahili kuwa kioo cha jamii. Polisi walistahili kujifunza huma rights. Angalia yaloyotokea kwenye hiyo operesheni tokomeza ujangili? Utovu wa nidhamu unasababisha ukosefu wa utiifu. Wananchi wanijikuta wana jenga uadui kutokana na atitudes za askari

Unajuaje kama mission ya operation Tokomeza (rules of engagement) iliwaagiza Askari wafanye hicho walicho kifanya ?
Hili si suala la nidhamu au mafunzo, ni suala la aliyewatuma alitaka nini kifanyike !
Ndio maana Mwenyekiti wa Tume ya uchunguzi wa hiyo operation alipendekeza wale wote (Technocrats) waliotengeneza 'mpango kazi' wa operation tokomeza wachukuliwe hatua. Kwani hiyo (blue print) karatasi ya 'mpango kazi hata waziri hakupewa copy !
 
polisi wakitoka CPP wanakuwa kama wamefungwa akili, ndio maana wanalipwa mshahara shilingi 5 na kuishi kwenye makazi ya hovyo na kutumikishwa na mafisadi lakini hawajali. CPP inawatoaga akili...hawajitambui!
 
polisi wakitoka CPP wanakuwa kama wamefungwa akili, ndio maana wanalipwa mshahara shilingi 5 na kuishi kwenye makazi ya hovyo na kutumikishwa na mafisadi lakini hawajali. CPP inawatoaga akili...hawajitambui!

Manesi na Madaktari nao wanatolewa akili wapi !?.......maana ni kati ya wano lipwa kidogo !
 
Waambie hao wapumbavu wanaoitwa m k u n d u halafu wanachekelea, sisi tuliokubali kukomaa na corporate world mpaka sasa tumeshalamba ma bonus yetu tunashinda site tu wekend kama hizi tunachimbia pesa tupate makazi bora..

waambie hao mamburula waelewe sio wanakomaa na mikazi ya shuluba huku wakilipwa sh. 5 kwa mwezi!
 
Ooh tumepiga coporeti, Cjui mamburura mkizulumiana mbn hammalizani wenyewe mnakimbilia Kwa hao wazee, vibaka tu wanawatoa jasho Kwa kujifanya koporeti ofisaz, miili legevu ka mlenda Wa kisukuma, mwanaume Uone aibu kuwa Na mwili nyoronyoro, co ujisifie
 
Wanaoanza wanapewa mshahara kiduchu huwezi amini,hiyo laki tano ni mishahara ya miezi miwili kinachosaidia ni lesheni wanayopewa katikati ya mwezi .
polisi wakitoka CPP wanakuwa kama wamefungwa akili, ndio maana wanalipwa mshahara shilingi 5 na kuishi kwenye makazi ya hovyo na kutumikishwa na mafisadi lakini hawajali. CPP inawatoaga akili...hawajitambui!
 
Kile chuo wanaomaliza ni askari wakakamavu tu.

Ukiishapita CCP utaweza kuishi sehemu yoyote duniani na kuvumilia matatizo ya kila aina mpaka ukafanikiwa

Mimi nimepiga miezi tisa pale CCP enzi za Mkisi R.I.P , RSM HARRISON NG'ECHI na AFANDE SAIMORA MASAGAMBA.

Ni kweli lugha zinazotumika na shuruba inayotolewa pale kama wewe ni mtoto wa mama huwezi maliza hata wiki

Ni aibu kwa mtoto wa kiume kuja hapa hadharani kulia kama unataka kubadilishwa nepi. CCP ni chuo cha kijeshi na watu kama wewe hamtakiwi kupita pale kwani hatutaki kuja kupata askari mdebwedo urojo wasio weza kudhibiti viroba na wahalifu

Nyi mapolisi wa Tanzania ukakamavu wenu ni wa kukaba raia huko uswahilini na kubaka wakinamama wauza gongo, mkisikia majangili yamevamia sehemu hamjitokezi.
 
Back
Top Bottom