Search results

  1. Mandla Jr.

    Ngao ya Jamii, Tanzania: Simba SC na Yanga SC, nani kuibuka mshindi?

    Mechi ya ngao ya Jamii, itachezwa jumatano tarehe 23/08/2017 na hii ni kuonyesha ufunguzi mpya wa Ligi kuu ya Vodacom ambayo itaanza mwishoni mwa wiki. Kila mtu anaipenda timu flani kati ya Simba SC na Yanga SC, na siku hiyo ni lazima mshindi apatikane hata kwa penati. Nani kuibuka mbabe...
  2. Mandla Jr.

    Wana-Kilimanjaro/Moshi fanyeni maombi walau mvua inyeshe!!!

    Wanajamvi.... Binafsi nimekuwa na tabia ya kupenda kutembelea Mkoa wa Kilimanjaro hususani wilaya ya Moshi mjini. Na kwa wakati huu niko Moshi, japo mimi si mwenyeji wa Mkoa huu ila huwa napenda kuja bila kujali ni mwezi gani au wakati gani. Ki ukweli hali ya Mji wa Moshi si nzuri kabisa, joto...
  3. Mandla Jr.

    Moshi inakwenda kumpata Mbunge atakayewajali wananchi, tuwe tayari

    Nduguzangu bado mimi niko Moshi, Namshukuru Mungu kwani niko salama kabisa, na hakika tumefanya kampeni za uhakika na za nguvu katika kata zote 21 za Manispaa ya Moshi. Na kwa kifupi ni kuwa Wananchi wa Moshi wanahitaji mabadiliko sasa. Wamechoshwa kukaa upinzani kwa miaka yote, sasa ni muda...
  4. Mandla Jr.

    Niko Safarini naelekea Jimbo la Moshi Mjini (Moshi) kushiriki kampeni za CCM!

    Wanabodi kwa ujumla, Kwanza naomba mnitakie safari njema. Nasafiri kutoka Dodoma kuelekea Moshi Mjini kwa watani zangu na lengo la safari ni kwenda kushiriki kampeni za uchaguzi. Pili, Baada ya kuhakikisha mazingira ya ushindi wa kishindo wa CCM katika Jimbo la Dodoma Mjini sasa tunapeleka...
  5. Mandla Jr.

    Msaada: Naomba mwenye namba ya SUMATRA..

    Habari, Naomba kujulishwa ile namba ya malalamiko kwa wasafiri ambayo ilitolewa na Sumatra. Mandla.
  6. Mandla Jr.

    Wabunge wa CHADEMA: Mnatoa msaada au mnatangaza majina yenu kwenye magari?

    Wanabodi, Binafsi nimeshangazwa sana na tabia inayofanywa na Wabunge wa chadema. Na kiukweli SIJAPENDA!!!! Inakuwaje Mbunge anatoa Ambulance au gari la kubebea taka katika Jimbo lake na kisha kuandika... 'Msaada kutoka kwa Kaka yenu A.Mbowe" au "Gari hili ni msaada kutoka kwa Philemoni...
  7. Mandla Jr.

    Kwanini sherehe nyingi za Kitaifa hapa Tanzania hazifanyiki katika mkoa wa Kilimanjaro (Moshi)?

    Wanabodi, Hapa Tanzania kuna sherehe nyingi sana za Kitaifa kila mwaka. Na sherehe hizi hufanyika katika mikoa mbalimbali ya Tanzania. Mfano siku wa watoto Kitaifa, Kumbukumbu ya Mashujaa wa Taifa, Mei Mosi Kitaifa, Kuwasha au Kuzima Mwenge Kitaifa, Siku ya Wanawake Kitaifa n.k., zipo...
  8. Mandla Jr.

    Dr Slaa alitokea CCM na hakatazwi kurudi CCM

    Wala msipate shida kujiuliza maswali mengi. Dr Slaa alijifunzia siasa ndani ya CCM then akatoka sio mbaya. Na sisi wanaccm leo akirudi atakuwa karudi nyumbani. Hakuna ubaya wowote!! Mfano: Steven Wassira, Walid Amani Kabouru. Mandla.
  9. Mandla Jr.

    MOSHI MJINI: CCM Jipangeni vizuri ili kuleta mabadiliko ya kweli!!

    Wanabodi, Binafsi ni kati ya watu wanaoipenda na kuitumikia CCM kwa moyo wa dhati pasipo shaka yeyote. Na nilianza hizi harakati toka nikiwa Chuo Kikuu. Nduguzangu wa Moshi Mjini (Manispaa) bado mna kazi kubwa na ngumu kuhakikisha mnapata uungwaji mkono na Wananchi wengi wa hapo mjini. Kwasasa...
  10. Mandla Jr.

    Hongereni sana FEZA Schools, hakika mnaonyesha njia

    Wanabodi, Nichukue nafasi hii kwa kuwapongeza FEZA SCHOOLS kwa kushinda Kimataifa "GENIUS OLYMPIAD. Hakika baada ya muda sio mrefu mlichowekeza kwa wanafunzi kitakuja kuonekana hapa Tanzania. Endeleeni kuwajenga wanafunzi katika Elimu,Malezi na Kiroho ili tuwe na Taifa Bora siku za mbeleni...
  11. Mandla Jr.

    Mtazamo wangu: Nawaona Magufuli na Balozi Karume watafika mbali katika kuwania Urais

    Huu ni mtizamo wangu, Hawa viongozi wawili na makada watiifu wa CCM nawaona watafika mbali katika kumtafuta M/Kiti wa CCM na Rais wa Tanzania 2015. Binafsi sina kundi lolote, isipokuwa hawa viongozi ni wa aina yake na wasiopenda makuu. Tuwatizame kwa macho ya umuhimu. Mandla.
  12. Mandla Jr.

    Kulikoni mnafanya Msiba kama sherehe za kawaida?

    Wanabodi habari ya leo, Binafsi naomba kusema ni vyema kuwajali na kuwahifadhi wapendwa wetu waliotutoka kwa njia nzuri na ambazo ziko kihalali kulingana na mila, desturi, tamaduni na dini tunazoziamini. Lakini pia niseme ni masikitiko sana kuondokewa na mtu katika jamii yetu na kaya zetu...
  13. Mandla Jr.

    Nini maana ya usemi huu: "Ili uwe mwanasiasa lazima uwe na Ngozi ngumu"

    Huu usemi siku hizi umekuwa maarufu sana! Na huenda watu wengi wanashindwa kuuelewa na pengine unatumika vibaya. Ni vyema tukaambizana sasa, huu usemi una maanisha nini. Mandla.
  14. Mandla Jr.

    Gazeti la "TANZANIA DAIMA" Linaandika habari kwa Maslai ya Nani???

    Hili gazeti la "Tanzania Daima" sasa limezidi kuwapotosha wasomaji wake. Mara nyingi linaandika habari za kuegemea upande fulani na pia linaponda kabisa jitihada za Serikali katika kuwaletea maendeleo watanzania. Ni ombi langu tu kwa Serikali kuchukua hatua stahiki kufuatilia gazeti hili na...
  15. Mandla Jr.

    CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

    Wana JF, Salaam, Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama. Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema...
  16. Mandla Jr.

    December: Mwezi wa Wachaga

    Mwezi wa kurudi uchagani, Mwezi wa kufanya biashara, Mwezi wa kwenda kuchinja na kutoa sadaka. Karibu December.
  17. Mandla Jr.

    Swali: Ni member gani hapa JamiiForum ana CV nzuri na safi?

    Wana JF: Ningependa kujua ni nani ana CV nzuri na safi hapa JF, bila kujali huyo member anapatikana jukwaa gani?
  18. Mandla Jr.

    Polisi wakamata konyagi feki Vingunguti

    Mmiliki wa Konyagi feki...
  19. Mandla Jr.

    Swali: Kamati ya Bunge wana haki kisheria kuwapeleka Viongozi wa Serikali Polisi?

    Wana JF, Hivi sheria ikoje hapa?? Kamati ya Zitto kuwapeleka vigogo wa Serikalini Polisi.
  20. Mandla Jr.

    Kumbe Moshi (Kilimanjaro) hawana kiwanja cha Mpira

    Wana JF, Kumbe wachaga hawapendi michezo. Mji wa Moshi wanategemea uwanja wa Chuo cha Ushirika kuendeshea mambo yao ya michezo. Kiwanja cha Manispaa Mjini Moshi ni Memorial, Lakini hawa wachaga wanafanyia biashara ya Mitumba. Kitu cha ajabu, CCM ina viwanja kila Mkoa hapa Tanzania lakini...
Back
Top Bottom