CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

CHADEMA: Tuambieni mmekusanya shilingi ngapi kupitia Mitandao ya Simu?

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
3,098
Reaction score
631
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.
 
Kuna vyama hela inapopatikana ndio matatizo huanza. Tuige vyama vingine kama CCM! Mapato na Matumizi yako wazi sana katika kila sehemu.
 
Hivi ccm walizokusanya kwa wahindi huko mjini mmeshaweka mahesabu yake kwenye lile gazeti lenu la udaku la uhuru?
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama
vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi
wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa
wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa
kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni
kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa
wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na
ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

chezea macho kumchuzi
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama
vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi
wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa
wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa
kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni
kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa
wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na
ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

wewe umechanga ngapi, kama bado hujue hawajapa kitu
 
Wewe kweli kilaza, unasema michango ya chama chao, sasa unataka uambiwe kama nani? Kama unataka kujua hamia kwanza Chadema uanze kusema chama chetu ndio utajua, unaongelea maswala ya ndoa wakati bado mhuni? Pole yako
 
Wewe ni CAG? Tatizo ni kwamba unatumia masaburi kufikiri na kuongea. Nenda kamuulize mumeo Nepi Nnaue anajua CDM imepata shilingi ngapi so far.
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama
vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi
wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa
wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa
kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni
kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa
wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na
ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.

Kabla haujajibiwa swali lako ni vema ukatuambia wewe umechangia Shillingi ngapi? maana inawezekana unauliza maswali ikiwa wewe sio muhusika wa hiyo sehemu.
 
Pesa za SABODO zimeliwa, Pesa za M4C zimeliwa na wajanja akina LEMA, Hata hizi za sasa bila shaka akina Mbowe wameshaziweka kimiani ndio maana unaona kimya!
 
Taarifa za fedha unaweza kwenda mtaa wa ufipa ofisi za cdm kinondoni na utapewa taarifa zote.
 
Wana JF, Salaam,
Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama
vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.

Lakini pamoja na gharama kubwa za uzinduzi wa huduma hii kukusanya pesa kutoka kwa wananchi
wenye mapenzi mema na chadema mpaka leo haifahamiki chama kimekusanya kiasi gani kutoka kwa
wavuja jasho wa Tanzania. Na kibaya zaidi kumekuwa na usiri mkubwa juu ya makusanyo ya pesa
kupitia njia hii.

Habari ambazo ziko wazi ni kuwa kwasasa ni M/Kiti-Mbowe na Katibu Mkuu- Dr Slaa ndio wanajua ni
kiasi gani kimekusanywa kupitia mfumo huu. Hali hii imeleta sintofahamu kubwa ndani ya chadema hasa
wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani kuna Wilaya na Mikoa iko hoi kutokana na
ukata wa pesa.

Nimalizie kwa kusema "Uungwana ni Vitendo" ni vyema tukawa WASAFI!!!

Mandla
Wa Dodoma.
Tuwaambie ili iweje? Ukijua tumekusanya kiasi gani itakusaidia nini?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wana JF, Salaam,Chadema walizindua mfumo wa wanachama kuchangia chama chao kupitia Mitandao ya simu kama vile M-pesa, tigopesa nk nk. Ni mfumo mzuri na ni vyema kuutumia kama chama.
Bilioni 321,
 
Pesa za Sabodo kisima kimoja kila jimbo la mbunge wa chadema na pesa zote hazijulikani zilipo halafu unasimama kumsema mwenzio anakula wakati wewe mwenyewe unakula.
 
Wewe kweli kilaza, unasema michango ya chama chao, sasa unataka uambiwe kama nani? Kama unataka kujua hamia kwanza Chadema uanze kusema chama chetu ndio utajua, unaongelea maswala ya ndoa wakati bado mhuni? Pole yako

Binafsi ni mwanachama lakini jamaa yuko sahihi,hawajasema mapato na matumizi na wao ndo vinala wa kukosoa wengine,mara kadhaa siyo kila wanachosema iwe wako sahihi,hata wao wanatafuta madaraka kufanya hayo hayo wanayoyapigia kelele,kwa sababu tu ushabiki ndo mana kila mtu anavutia upande wake,watanzania tunakasumba ya ujanja ujanja,watu wengi wanamagumashi toka wanasoma mpaka wanatafuta kazi,sasa wakiwa madarakani watafanya nini unadhani?tena madaraka yenyewe ya kisiasa!!!
 
Huku ni kuishiwa hoja! Magamba mtaweweseka hadi lini? Uambiwe makusanyo wewe kama nani? Au ulitaka taarifa ya makusanyo ibandikwe hapo lumumba buku 7?
 
Back
Top Bottom