Mwambie afungue mpesa na tigo pesa na luku kwn hvi ndo vitu vinavyo run maisha ya watu hapa mjini kwn m2 hawez kuish bila umeme lazima atanunua luku, asikimbilie biasha kubwa kwanza
Mwambie afungue mpesa na tigo pesa na luku kwan hvi ndo vitu vinavyo run maisha ya watu kila siku, kwn m2 awezi kuishi bila umeme kwa maeneo ya mjini, mwambie asikimbilie biashara kubwa, kwn bdo hana ujuzi nazo
Kwakuwa ndo ninaanza hii biashara ninaweza ku supply lita 250 kwa mwenzi, kwani ulikuwa unaitaji lita ngapi? na kama utojali tumia mawasiliano yangu hapo juu ili tuweze kuwasiliana kwa wakati@ mutesa
Mimi nataka kuanza biashara ya kuuza mafuta ya alizeti hapa dar natafuta wateja nani ataitaji, lita tano (5) ni shilingi elfu kumi na saba na mia tano, bei ya mwisho ni shilingi elfu kumi na saba,(17500-17000 Tshs)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.