juzi nilikuwepo kwenye uzinduzi wa ile movie yako ila sikuamini nlichokiona Wallah mtoto umbo namba nane limekaa likakalika kweli na huo mtrako nyuma ndo kabisa uliniua nguvu zotee za kiume.. ila nna mashaka kama hii shepu ni yako kweli, ukipata nafasi ya kupitia uzi huu tafadhali nijibu kama...
Wanabodi natafuta mtu wa kubadilishana nae laptop mimi natumia chromebook ila nataka mashine ya window so kwa yeyote aliye tayar anichek PM,
Mashine yangu haina tatizo lolote except spika imeanza kukoroma kidogo lakini wala sio tatizo kwa sababu nimeitumia kistaarabu,
Kwa wasio ijua chromebook...
Wadau yamenikuta mwenzenu nilikua nikiambiwa sana kuhusiana na adsense kufingia account za africa na especial zinazotegemea traffic ya facebook sasa hatimae yamenikuta wamelamba account yangu ikiwa na kama $148 ,,,asanteni adsense mmeniliza leo
Wadau naomba mmbadala wa adsense tafadhali nataka...
Salaam
Mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba cha kupanga maeneo ya kurasini na pawe karibu na chuo cha TIA...
Sihitaji madalali kwasababu pesa ya kuwapa ya mwezi mmoja kusema ukweli sina...hivyo nahitaji direction niende kwa mwenye nyumba mwenyewe..
My budget ni 100k kwa mwezi..
Nitalipa...
Salaam wanajukwaa..
Naomba msaada wenu kisheria wakuu...nitaeleza kwa kifupi kidogo ili nisiwachoshe.
Kuna boss wangu (Indian) aliniajiri yapata mwaka mmoja na miezi saba sasa...lakini wiki iliyopita kwa ghafla tu amenifukuza kazi hali ya kua namdai mshahara wa miezi minne (4) ya nyuma ambayo...
Haya haya kumekucha huko kwa madiba...ni zile tuzo za (MTV Africa Music Awards) ndo zimerudi tena..Na kama kawaida yule raisi wa bongofleva anaendelea kupeperusha bendera ya nchi kwa uzuri zaidi...Na safari hii amechaguliwa kushindania tuzo za MTV kipengele cha "BEST MALE ARTIST" na kama...
Walileta matambara ya deki na wabongo kama kawaida yetu tukazidaka na tukaanza kusumbua nazo mjini...sasa wametuletea na hii iliyopulizwa na moto soon utaona watakavyoanza kuzikimbilia....
Ipe maneno hii style mpya!
ULEFONE PARIS NOW IN DAR (370,000/= tsh ONLY)
Brand-ulefone
Model-Paris
Color-Metal Grey / Silk White
Dimensions-144.5 x 71.7 x 8.0
Weight-128g (with battery)
Operating system-Pre-install Android 5.1 Lollipop
CPU-64Bit MTK MT6753 processor Octa-core 1.3GHz CPU
GPU-ARM Mali -T720 GPU
RAM-2GB...
Habari zenu wakuu,jamaa na marafiki..poleni na majukumu ya wiki nzima na ni imani yangu kua mko na weekend nzuri na salama...
Wiki iliyopita katika mihangaiko yangu ya kutafuta office ya kupangisha nikajikuta naingia kwenye office ya ndugu yangu ila si wadamu..tulisoma nae kuanzia primary...
Habari zenu wakuu wa jukwaa hili..naamini mu buheri wa afya..leo nimeamua kushare na nyinyi hii taarifa kua kuna kampuni ya simu inaitwa BLUMOBILE wanatengeneza simu zinazofahamika kwa jina la "BLU"
yenye HEAD QUARTERS kule marekani kwenye jimbo la FLORIDA au MIAMI kama sijakosea..wameanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.