Leo nimetumiwa email ya Kuwa mmoja wa watu walio kuwa selected na ALX Africa, software engineering ya 12 month, nimejaribu kupitia mtandaoni naambiwa ni moja ya course ngumu sana kama hauko committed kuisoma.
Wish me Lack
Kufanikisha.
We are looking for a reliable and friendly Room Attendant to join our hospitality team in order to provide superb customer service to our guests.
Your duties will include ensuring that assigned rooms are fully stocked, cleaned, and serviced to a high standard. You should also be able to resolve...
Tatizo la programmers wengi tuna fail si kwa kuwa hatujui ku code ila hatujui which is best language to use when it comes to solve problems.
Yani tunasomaa somaa tuu kisa umesikia flan anafanya java na wewe unaenda soma java kuna watu wana fanya python na wewe unakimbilia python mwisho wa siku...
Website na Management system huwa zinatofautiana kulingana na requirements husika za project yako. Hivyo ni vyema ukaeleza requirements zako katika hiyo website na system kisha ukapewa bei elekezi.
Kwa website na management system unaweza kunicheki inbox au kwa number yangu +255 759 019 408
Kwa...
Sasa kitu kizuri ni kujua ni sababu zipi zinafanya zitoboe na zipi zinafanya zisitoboe.... kujua ugonjwa ni njia moja wapo ya kujua utatafutaje tiba na kupambana nao.
Nimelala nikaamka na akili zangu za usiku, nikawaza sanaa, Kwa nini app, system,site nyingi za Tanzania huwa zinazaliwa na kufa kwa muda mfupi? Kwa nini hazitoboi? kwa nini hazipati nafasi ya kujikita juu na kujiendesha?
Hapa kutakuwa na sababu nyingi sanaa zinazopelekea kuwa na haya matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.